Klabu ya Singida Fontaine Gate imewaadhibu vinara wa Ligi Kuu Zanzibar, JKU FC ya Zanzibar jumla ya magoli 4-1 katika mchezo wa kombe la Mapinduzi uliopigwa katika dimba la Amaan Complex, Zanzibar.
JKU 1-4 Singida FG
⚽ Saleh 61’p
⚽⚽ Elvis Rupia 17’, 47’
⚽ Medie Kagere 80’
⚽ Francis Kazadi 86’
Ikumbukwe kuwa, JKU ndiyo timu iliyomlea Feisal Salum Abdallah tangu akiwa mtoto maarufu kama Fei Toto kabla ya kutua Yanga na kuwa staa kishaa kutimkia Azam FC.