Home Azam FC AZAM MATATANI KUPOTEZA SILAHA YAO HII…SINGIDA BS YAHUSISHWA…ISHU NZIMA IPO HIVI

AZAM MATATANI KUPOTEZA SILAHA YAO HII…SINGIDA BS YAHUSISHWA…ISHU NZIMA IPO HIVI

Habari za Simba leo

Klabu ya Singida Black Stars imefungua mazungumzo ya kumsajili mlinzi wa kulia wa Azam Nathaniel Chilambo.

Mkataba wake na Azam umebaki miezi mitatu tu.

Haitokuwa rahisi kwa Azam kubaki nae licha ya kwamba wapo
kwenye mpango wa kumuongezea mkataba mpya.

SOMA NA HII  RASMI...AZAM FC WAZIDI KUTIA MACHUNGU SIMBA SC...WAMALIZANA NA SOPU KWA DAU NONO...ALAMBISHWA MIAKA MITATU...