Home Habari za Yanga Leo YANGA YATUA ADDIS ABABA MUDA HUU

YANGA YATUA ADDIS ABABA MUDA HUU

HABARI ZA YANGA

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga SC wamewasili salama mjini Addis Ababa tayari kwa mchezo wa mkondo wa kwanza wa raundi ya pili dhidi ya CBE.

Yanga SC itashuka uwanjani keshokutwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Abebe Bikila, jijini Addis Ababa kuvaana na CBE FC kabla ya kurudiana nao wiki ijayo na mshindi wa jumla kutinga makundi.

Yanga ikitaka kuandika rekodi ya kufika hatua hiyo kwa mara ya pili mfululizo baada ya msimu uliopiota kutinga baada ya miaka 25 kupita na kwenda hadi robo fainali kabla ya kutolewa na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.

SOMA NA HII  MAXI AMTAJA MAYELE KWENYE KIKSOSI CHA YANGA TAMAA YAKE IKO HIVI