Home Authors Posts by Abubakar

Abubakar

867 POSTS 0 COMMENTS

MABAO 22 YA LIGI KUU YACHAMBULIWA…SIMBA AONGOZA

0
MABAO 22 yamefungwa katika michezo 13 ya Ligi Kuu Tanzania Bara iliyochezwa mpaka sasa, 19 yakifungwa kwa njia ya kawaida na matatu kwa mikwaju...

SIMBA HAWATAKI KURUDIA MAKOSA HAYA MSIMU HUU.

0
WAKATI Mnyama akitarajia kushuka dimbani leo kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya JKT Tanzania, Uongozi wa klabu hiyo umesema hawatarudia makosa yaliyojitokeza misimu mitatu...

COASTAL UNION YAISHUKURU SIMBA SUALA LA LAEMCK LAWI

0
BAADA ya sintofahamu ya muda mrefu kuhusiana na usajili wa mchezaji, Lameck Lawi, imeamuliwa nyota huyo ataitumikia timu yake ya zamani, Coastal Union, imefahamika. Lawi...

GAMONDI AAPA KUWAMALIZA CBE NYUMABNI KWAO

0
LICHA ya kubakia na wachezaji wachache kambini, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, ameendelea na programu yake kwa ajili ya kujiandaa kuwakabili CBE ya...

YANGA YAONGEZA KIUNGO MWINGINE

0
YANGA Princess imekamilisha usajili wa kiungo raia wa Nigeria, Adebisi Ameerat kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Hapoel Petach Tikva. Mchezaji huyo ambaye ana uwezo...

PIGO KWA YANGA…FARID MUSSA NJE MIEZI MITATU

0
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi watakosa huduma ya kiungo wao wa kazi Farid Mussa. Ipo wazi Yanga...

HATIMAYE MSUVA AJIPATA ULAYA

0
MCHEZAJI wa ZamaniĀ  wa Yanga na Wydad Casablanca ya Morocco Simon Msuva anakwenda kuanza maisha mapya Ulaya katika timu iliyopo Jamhuri ya Iraq huko...

SAKATA LA KAGOMA NA YANGA UKWELI NI HUU.

0
KLABU YA YANGA na Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu bara, wamewasilisha nyaraka mbili muhimu kwenye shauri linaloendelea la kimkataba kati yao na Mchezaji Yusuph...

DJUMA SHABAN ASEPA ZAKE UFARANSA

0
BEKI wa zamani wa Yanga, Djuma Shaban anayekipiga Namungo kwa sasa, ametimka nchini kwenda Ufaransa, huku akifunguka kilichofanya aende huko akiwa amepewa muda wa...

FREDDY ATEMWA USM ALGER…ARUDI YANGA

0
Aliyekuwa mshambuliaji wa Simba, Freddy Michael ameshindwa kujiunga na USM Alger ya Algeria kwa kigezo cha kutowahi kuichezea timu ya taifa, lakini mwenyewe amezima...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS