admin
AZAM FC KUMBE WAMEYEYUSHA POINTI 15 KISA WAAMUZI
UONGOZI wa Azam FC, umesema kuwa kinachowaponza Azam FC kushindwa kufikia mafanikio ya kusepa na pointi nyingi uwanjani ni maamuzi ndani ya uwanja.Ofisa Habari...
KUMBE SINGIDA UNITED WALIFANYA MAZOEZI SIKU TATU PEKEE KABLA YA KUWAVAA...
UONGOZI wa Singida United umesema kuwa ulifanya mazoezi kwa muda wa siku tatu kabla ya kuvaana na JKT Tanzania.Singida United ilichapwa mabao 2-0 kwenye...
MTIBWA SUGAR YAGOMA KUSHUKA DARAJA
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa utapambana kubaki ndani ya Ligi Kuu Bara kwa kushinda mechi zake nane ambazo zimebaki kwa sasa.Mtibwa imecheza jumla...
SIMBA YAKWEA PIPA KUIFUATA MBEYA
TIMU ya Simba leo imeanza safari kwa ndege kutoka Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuelekea Mbeya kwa ajili ya michezo miwili ya Ligi...
MGHANA ACHOTA FEDHA SIMBA, RAYON YAIPA TANO YANGA,NDANI YA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu
KOTEA KUTUA YANGA..!!??
KIUNGO aliyeng’ara na Simba, James Kotei amechemka kwenye klabu ya FC Slavia Mozyr ya Belarus na kuvunja nayo mkataba.Kotei amekuwa akihusishwa na Yanga ambapo...
MKUDE AELEZEA MAENDELEO YA AFYA YAKE..DAKTARI SIMBA AFUNGUKA PIA.!!
KIUNGO mkabaji wa Simba, Jonas Mkude amewaambia mashabiki wa timu hiyo kwamba, ameanza kuwa fiti wala wasiwe na presha.Mkude alieleza kuwa maendeleo yake ni...
YANGA YAGAWANA POINTI MOJAMOJA NA AZAM FC, MABAO MAWILI YA AZAM...
YANGA imegawana pointi moja leo mbele ya Azam FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Taifa.Kasi ya Azam ilianza kipindi cha kwanza ambapo walifunga bao...
KOCHA SIMBA ATAJA SABABU YA NDEMLA KUONYESHA MAUJUZI TAIFA
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kiungo wake Said Ndemla anazidi kuimarika kutokana na kufuata maelekezo awapo kwenye mazoezi.Ndemla hakuwa na nafasi...
STARIKA YANGA AOMBA KUTUA MSIMBAZI
STRAIKA Mghana Michael Sarpong ambaye Kocha wa Yanga, Luc Eymael aliwaambia viongozi wamsainishe, muda wowote kuanzia sasa atatambulishwa Msimbazi.Eymael alikuwa amempendekeza straika huyo kwa...