Home Authors Posts by admin

admin

25386 POSTS 9 COMMENTS

LIGI KUU BARA KWA SASA IMEMEGUKA MAKUNDI MANNE

0
MGAWANYIKO uliopo kwa sasa kwenye ulimwengu wa Ligi Kuu Bara ni makundi manne ambayo yanapambana kufikia malengo ambayo wameyaweka kulingana na hesabu zao zilivyo.Tunaona...

NAMUNGO WANASTAHILI KUIGWA, SINGIDA UNITED KAZI INAANZA

0
TUMEANZA kushuhudia ile burudani ambayo ilikuwa imekosekana kwa muda mrefu kwenye ulimwengu wa macho ya wanamichezo.Nazungumzia mpira wa ushindani ambao umekuwa ukiwakusanya ndugu jamaa...

GWAMBINA FC WAIVUTIA KASI TRANSIT CAMP, KESHO

0
GWAMBINA FC vinara wa kundi B kwenye Lgi Daraja la Kwanza wameendelea na mazoezi yao kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Transti Camp...

ISHU YA KUFUNGIWA MASHABIKI JKT TANZANIA WAOMBA MSAMAHA

0
UONGOZI wa JKT Tanzania umesema kuwa makosa waliyoyafanya Juni 17 kwa kushindwa kufuata muongozo uliowekwa na Serikali kwa kushindwa kuweka umbali wa mita moja...

SIMBA:ITAKUWA KAZI NGUMU MBELE YA MWADUI FC ILA TUPO TAYARI

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa upo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Mwadui FC utakaochezwa Uwanja wa Taifa majira ya saa 10:00 jioni.Akizungumza...

LEO LIGI DARAJA LA KWANZA MAMBO YANAANZA

0
LEO Ligi Daraja la Kwanza mambo yataendelea kwa timu nne kuwa ndani ya uwanja kusaka pointi tatu muhimu.African Lyon itamenyana na Boma FC Uwanja...

BUKU TANO TU KUMUONA HARUNA NIYONZIMA

0
JUNI 21, Yanga itakuwa na kazi ya kumenyana na Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Uwanja wa Taifa majira ya saa...

BIASHARA UNITED: TUNA HALI NGUMU ILA TUNAZITAKA POINTI ZA NDANDA

0
UONGOZI wa Biashara United umesema kuwa hesabu kubwa ni kuona wanapata ushindi kwenye mechi yao dhidi ya Ndanda FC, itakayopigwa Uwanja wa Nangwanda Sijaona,...

KAZIMOTO NA LAMINE SASA MAMBO FRESH

0
MWINYI Kazimoto, nahodha wa Klabu ya JKT Tanzania amesema kuwa ameshamsamehe nyota wa Klabu ya Yanga, Lamine Moro kwa kumchezea mchezo usio wa kiungwana...

NAMUNGO YAZITAKA POINTI TATU ZA KAGERA SUGAR

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa watapambana kupata pointi tatu mbele ya Kagera Sugar kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Juni 20, Uwanja...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS