Home Authors Posts by admin

admin

25373 POSTS 9 COMMENTS

MSHAMBULIAJI WA YANGA APANIA KUFANYA MAKUBWA, KIWANGO CHAKE ADAI HAKIJAMFURAHISHA

0
DITRAM Nchimbi, shambuliaji wa Yanga amesema kuwa kiwango alichokionyesha kwenye mechi za hivi karibuni akiwa ndani ya klabu hiyo kabla ya ligi kusimamishwa hajakifurahia...

KUHUSU KUPAMBANA NA CORONA WACHEZAJI FANYENI HIVI

0
MANAHODHA wa Bongo wakati wa kuzinduka na kuendeleza ile vita ya kupambana na adui Corona kwa vitendo ni sasa kwani hakuna muda mwingine ambao...

DIAMOND AMEANZA, WENGINE PIA NI WAKATI WA KUUNGANA NAYE, VITA NI...

0
WAKATI ule nakumbuka sio muda mrefu ngoma ya Kamwambie ilikuwa ni ya taifa ambapo kila kona ilikuwa inapigwa na watu wakawa wanaielewa.Sikupata tabu sana...

JUVENTUS WAMUOMBA RONALDO ASISEPE

0
CRISTIANO Ronaldo nyota anayekipigandani ya Juventus ameombwa na mabosi hao kutotimka kwenye kikosi hicho na adumu mpaka pale mkataba wake utakapomeguka.Ronaldo mkataba wake ndani...

KOCHA SIMBA ATOA LA MOYONI KUHUSU AJIBU

0
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroec amesema kuwa hana tatizo na kiungo wake mshambuliaji Ibrahim Ajibu na anaamini anaweza kuwa bora baadaye ikiwa ataongeza...

MTIBWA SUGAR YAKUMBUKA KASI YA LIGI KUU BARA

0
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa miongoni mwa vitu ambavyo unavikumbuka kwa sasa ni pamoja na ushindani wa Ligi Kuu Bara uliokuwa umeanza kushika...

MORRISON ACHEKELEA MAISHA NDANI YA YANGA

0
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Bernard Morrison amesema kuwa anafurahia maisha yake ndani ya klabu hiyo kutokana na sapoti anayopewa kutoka kwa mashabiki, wachezaji na...

MOUSA WAGUE BEKI WA SENEGAL ANAYEPAMBANA NA CORONA KWA VITENDO

0
BEKI wa kimataifa Moussa Wague mali ya FC Barcelona ambaye anakipiga kwa Mkopo Nice, ametoa tani 12 ya vyakula kusaidia jamii yao katika eneo...

REAL MADRID BADO WANAMTAKA NEYMAR JR

0
RAIS wa Klabu ya Real Madrid, Florentino Perez ana ndoto ya kupata saini ya mshambuliaji wa PSG, Neymar Jr.Neymar Jr kwa muda mrefu amekuwa...

BEKI HUYU WA NKANA ANAYETAJWA KUTUA YANGA AWAPIGA MKWARA SIMBA

0
MUSA Mohammed, raia wa Kenya anayekipiga ndani ya Klabu ya Nkana FC amekiri kufanya mazungumzo na viongozi wa Yanga kwa ajili ya kujiunga na...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS