Home Authors Posts by admin

admin

24382 POSTS 9 COMMENTS

MHILU, NYOTA WA KAGERA SUGAR ANAYEFIKIRIA KUUNJA UTAWALA WA KAGERE

0
IKWIRIRI yenye maskani yake Kibaha, mkoan Pwani ilikuwa timu yake ya kwanza kuanza kuichezea kwenye maisha yake ya soka na sasa amekuwa mchezaji anayekimbiza...

MTIBWA SUGAR: LIGI YA MSIMU HUU NI BALAA

0
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa ushindani wa msimu huu ndani ya Ligi Kuu Bara ni mkubwa jambo ambalo linafanya kila...

MZUNGU WA YANGA: TARATIBU WACHEZAJI WANAKUJA, WATAFANYA MAKUBWA

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa atawajenga wachezaji wake kuwa katika hali ya kujiamini kwa muda atakaokuwa nao mazoezini na ana imani...

SIMBA YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA POLISI TANZANIA LEO, TAIFA

0
SVEN Vanderbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wapo tayari kuzisaka pointi tatu leo mbele ya Polisi Tanzania.Simba itamenyana na Polisi Tanzania,...

AZAM FC SI YA MCHEZO, ILICHOFANYA JANUARI NI SHIDA TUPU

0
AZAM FC iliyo chini ya Kocha Mkuu Arstica Cioaba, mwezi Januari,2020 imeweka rekodi ya kucheza mechi tano bila kupoteza mchezo .Kwenye mechi tano ilizocheza...

NEYMAR KUIKOSA NANTES LEO

0
PARIS Saint-Germain (PSG) itamkosa mshambuliaji wake raia wa Brazil, Neymar Jr kwenye mchezo wa Ligue 1 utakaochezwa leo dhidi ya Nantes kutokana na majeruhi.Neymar...

SABABU YA JKT TANZANIA KUBADILI UWANJA MBELE YA COASTAL UNION HII...

0
MCHEZO wa leo wa Ligi Kuu Bara kati ya JKT Tanzania dhidi ya Coastal Union uliopaswa uchezwe kwenye Uwanja wa Isahmuyo majira ya saa...

AZAM FC V TANZANIA PRISONS KESHO TAIFA NI MOTO

0
AZAM FC, kesho Uwanja wa Taifa itakuwa na kazi ya kumenyana na Tanzania Prisons ya Mbeya kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.AzaM FC itashuka...

VARDY ANA BALAA AKIWA UWANJANI, KWA KUCHEKA NA NYAVU

0
JAMIE Vardy, mshambuliaji wa Leicester City ni rafiki namba moja wa nyavu ndani ya Ligi Kuu England kwa msimu wa 2019/20.Amecheka na nyavu mara...

KAMA UNADHANI GWAMBINA WATAKUWA MTELEZO KWA YANGA, HUU HAPA UJUMBE WAO

0
TIMU ya Gwambina imesema inafahamu kuwa itakutana na Yanga kwenya hatua inayofuata ya michuano ya Kombe la Shirikisho hivyo wamejipanga kuhakikisha wanawafunga na kutimiza...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS