admin
SOMO LA KATUMBI KWA MO DEWJI JUU YA UWEKEZAJI
Mwenyekiti wa Klabu ta TP Mazembe ya DR Congo, Moses Katumbi, ameibuka na kumfunda Bilionea mwenzake, Mohamed Dewji ‘Mo’ ili ajue miko ya kuwa...
BAADA YA NAFASI KUCHUKUA MZUNGU, MKWASA AFUNGUKA JUU YA HATMA YAKE...
Aliyekuwa Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga, Boniface Mkwasa, amesema kuwa hajui hatima yake ndani ya klabu hiyo mara baada ya ujio wa kocha mpya...
YANGA WATOKWA NA MACHOZI, INATIA HURUMA – VIDEO
Baada ya kupoteza kwa mabao 3-0 juzi dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam,...
BAADA YA KUKATALIWA YANGA KISA UBORA, KINACHOENDELEA KATI YA KOTEI NA...
Kiungo mkabaji wa zamani wa Simba, James Kotei, amethibitisha kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na klabu yake ya Kaizer Chiefs inayoshiriki Ligi Kuu ya...
BOCCO ASHINDWA KUJIZUIA, AAMUA KULIIBUA TENA SUALA LA MAPINDUZI
Nahodha na mshambuliaji wa Simba, John Raphael Bocco amesema kuwa haikuwa bahati yao kulichukua Kombe la Mapinduzi huku akiwataka mashabiki wa timu hiyo kuendelea...
WALIOPIGWA MBILI NA SIMBA WASAJILI WAPYA SITA
UONGOZI wa Mbao FC umefanikiwa kusajili wachezaji sita katika kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo lililofungwa juzi usiku.Akizungumza jana, Mwenyekiti wa timu hiyo,...
ASTON VILLA TAYARI KWA SAMATTA, YAKUBALI KUMWAGA KITITA CHA PAUNI MILIONI...
Mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Samatta amefikia makubaliano na klabu ya Aston Villa ya England.Samatta anatarajia kujiunga na Aston Villa ambayo inashiriki Ligi Kuu...
BAADA YA KUMALIZANA NA ASTON VILLA, SAMATTA KUFANYIWA VIPIMO KESHO
Klabu ya Aston Villa ya England, imekubaliana kila kitu na mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Samatta.Samatta ni nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania...
SIMBA BABA LAOO, YAIPIGA MBAO, YAIACHA YANGA KWA POINTI 13 SASA
HASSAN Dilunga 'HD' alianza kupeleka maumivu kwa wapinzani wao leo Mbao FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba kwa...
KIKOSI CHA SIMBA KILICHOANZA DHIDI A MBAO FC LEO UWANJA WA...
HIKI ndicho kikosi cha Simba leo kilichoanza dhidi ya Mbao FC, Uwanja wa CCM Kirumba, Januari 16