admin
SINGIDA UNITED YAGOMEA KUSHUKA DARAJA
UONGOZI wa Singida United umesema kuwa utapambana msimu huu kubaki ndani ya ligi kutokana na usajili walioufanya.Singida United haijawa na msimu mzuri kutokana na...
LIGI KUU BARA: MBAO 0-0 SIMBA
Kipindi cha Kwanza: Mbao 0-0 SimbaUwanja wa CCM KirumbaMchezo unaoendelea kwa sasa Uwanja wa CCM Kirumba ni kati ya Mbao FC na Simba kipindi...
ISHU YA KICHUYA KUREJEA YAACHA MASWALI HAYA MATANO KWA JEMBE, HEBU...
KUTOKANA na timu ya Simba iliyo chini ya Kocha Mkuu, Sven Vanderbroeck kumrejesha ndani ya kikosi hicho mchezaji wao wa zamani, Shiza Kichuya, Saleh...
ALIYEMTUNGUA MANULA NDANI YA MBAO ANA JAMBO LAKE JINGINE TENA
SAID Khamis Jr mshambuliaji wa Mbao FC leo ana kazi kubwa ya kuendeleza ubabe wake aliouanza msimu wa mwaka 2018/19 uwanja wa CCM Kirumba...
HIKI NDICHO KINACHOIMALIZA KMC KUSHINDWA KUPATA MATOKEO CHANYA, DAWA YAKE YAPATIKANA
HARUNA Harerimana, Kocha Mkuu wa KMC amesema kuwa kazi kubwa aliyonayo kwa sasa ni kusuka upya kikosi kitakachowavuruga Mtibwa Sugarambao ni mabingwa wa kombe...
SVEN WA SIMBA KWENYE MTIHANI MWINGINE LEO MBELE YA MBAO FC,
SVEN Vanderbroek, Kocha Mkuu wa Simba leo ana kazi mbele ya Mbao FC kwenye mchezo utakaochezwa Uwanja wa CCM Kirumba.Sven anaingia kibaruani akiwa na...
AZAM FC YAJIONGEZEA NGUVU ZA KUIFUATA YANGA
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa ushindi waliopata mbele ya Lipuli ni nguvu kwao kuelekea kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga...
MBELGIJI WA YANGA AWAVAA WACHEZAJI WAKE KISA KICHAPO CHA MABAO 3-0...
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake walipoteza nafasi nyingi za wazi jambo lililowafanya wakakubali kichapo cha mabao 3-0 mbele ya...
KAGERA SUGAR: HAKUNA TIMU NINAYOIGOPA, NIKIFUNGWA NAFUNGWA KWELI, NIKIFUNGA NAFUNGA
MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa kilichompa ushindi mbele ya Yanga ni kujiamini na kuiruhusu timu yake icheze bila hofu.Maxime aliingoza...
MATA AWAONGEZEA KASI MANCHESTER UNITED KUELEKEA MCHEZO WAO DHIDI YA LIVERPOOL
JUAN Mata aliwaamsha mashabiki wa Manchester United dakika ya 67 kwa kufunga bao pekee la ushindi mbele ya Wolves kwenye mchezo wa FA raundi...