Home Authors Posts by admin

admin

24371 POSTS 9 COMMENTS

ZAHERA AITAFUTA REKODI YA KOCHA SIMBA CAF

0
Kocha mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera ametamba kwamba atafanya njia yoyote kuhakikisha kwamba anafikia rekodi ya kocha wa Simba, Patrick Aussems kwa kufika hatua...

MUONEKANO WA GAZETI LA SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO...

0
MUONEKANO WA GAZETI LA SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO ALHAMIS

ZAHERA ATAJA SABABU YA KUIPIGA CHINI MBAO MECHI YA KIRAFIKI

0
Kocha mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amegoma kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbao wakati timu hiyo itakapokuwa kambini jijini Mwanza.Yanga ambayo itaweka kambi...

MBELGIJI SIMBA ATIMKA DAR

0
Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems juzi asubuhi alitua katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, akiwa na mkewe kwa ajili ya kula bata...

KELVIN YONDANI ATAJWA ZESCO UNITED

0
Beki kisiki wa Yanga, Kelvin Yondani, anaonekana kuwa tishio mbele ya kikosi cha Zesco United baada ya kocha mkuu wa kikosi hicho, Mzambia, George...

BREAKING; LICHA YA MSUVA KUIBEBA , BOSI WA STARS ASHIKILIWA NA...

0
JESHI la Polisi la Burundi, linamshikilia msimamizi wa masuala ya mechi wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Danny Msangi.Imeelezwa, Msangi na mwandishi...

MSUVA AIPA AHUENI STARS BURUNDI, MECHI YAMALIZIKA 1-1

0
Taifa Stars imelazimisha suluhu ya bao 1-1 dhidi ya Burundi katika mchezo wa kufuzu kucheza michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2022 huko Qatar.Stars...

LIVE: BURUNDI 0-0 TANZANIA

0
MCHEZO kwa sasa unaondelea nchini Burundi kwa ajili ya kufuzu Kombe la Dunia nchini Qatar kati ya Burundi na Tanzania ni kipindi cha kwanza.Hakuna...

MAHAKAMA KISUTU YAFUNGA UHAHIDI KESI YA AVEVA, KABURU, AUAMUZI SASA SEPTEMBA...

0
Ushahidi wa kesi inayowakabili waliokuwa viongozi wa Simba, Evans Aveva na wenzake, unatarajiwa kutolewa uamuzi Septemba 17, mwaka huu kama wana kesi ya kujibu...

KIKOSI CHA STARS DHIDI YA BURUNDI

0
 Kikosi cha Taifa Stars dhidi ya Burundi
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS