admin
PATRICK GAKUMBA AFUNGUKA JUU YA BALINYA KUTOENDA SIMBA ‘WALIMKATAA’ – VIDEO
Meneja wa mchezaji Juma Balinya, Patrick Gakumba akifunguka juu ya mchezaji huyo kushindwa kujiunga na Simba na badala yake aksajiliwa na Yanga.
ULE USAJILI WA KAGERE KUTUA ZAMALEK KWA BILIONI 1.2 ZA KITANZANIA,...
Lile suala la Meddie Kagere kutakiwa na Zamalek kwa dau la bilioni 1.2 za kitanzania, ishu nzima ipo namna hii.
MAURIZIO SARRI ATIMKA CHELSEA AIBUKIA JUVENTUS
MAURIZIO Sarri aliyekuwa meneja wa Chelsea sasa ni mali ya Juventus ambapo amesaini kandarasi ya miaka mitatu.Timu yake ya zamani Chelsea imethibitisha kocha wake...
TAIFA STARS KAZINI LEO MISRI. KUWAVAA ZIMBABWE
Leo timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' itaingia uwanjani katika mchezo wa pili wa majaribio dhidi ya Zimbabwe, mchezo utakaopigwa katika uwanja wa...
YANGA WAMCHUNIA BOBAN, MENEJA WAKE AFUNGUKA
WAKATI uongozi wa Yanga ukiwa kimya kwa baadhi ya nyota wake imebainika kuwa hata kiungo mkongwe wa timu hiyo, Haruna Moshi ‘Bobani’ bado hajapigiwa...
Amunike kujaribu wengine leo
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” leo inashuka dimbani kucheza mchezo wa pili wa Kirafiki dhidi ya Zimbabwe.Mchezo huo utakaochezwa saa...
WATATU WAPIGWA ‘PINI’ KMC
UONGOZI wa timu ya Manispaa ya Kinondoni, KMC umeamua kuendelea kuwapiga pini nyota wao wanaowahitaji ambapo leo tena wamemuongezea kandarasi mchezaji wao Cliff Buyoya.Ofisa...
POGBA ATAKA KUSEPA MANCHESTER UNITED MAZIMA
PAUL Pogba, kiungo mshambuliaji wa Manchester United amesema kuwa itakuwa habari njema kwake kuondoka ndani ya kikosi hicho ili kupata changamoto mpya mbali na...
BEKI SIMBA AMWAGIWA MSHAHARA MILIONI 4 KWA DAU LA USAJILI MILIONI...
MODewji hataki kuona mchezaji ambaye bado anahitajika na Kocha Patrick Aussems pale Simba anaondoka ndiyo maana amevunja benki na kumpa nahodha msaidizi, Mohammed Hussein...