Latest Posts

BREAKING; SIMBA YASAJILI WABRAZIL WATATU

BEKI Tairone Santos da Silva  (30) amesaini kandarasi ya miaka miwili kuitumikia timu ya Simba. Santos Amejiunga na Simba akitokea timu ya Atletico Cearense FC…

SIMBA YAFUATA KIUNGO URENO

BAADA ya kukamilisha usajili wa Wabrazil wawili, mabosi wa Simba wamepanga kushusha kiungo kutoka nchini Ureno atakayekuja kusaini mkataba wa kuichezea timu hiyo kwenye msimu…

MASTAA YANGA WAANZA KUTUA AIRPORT

WACHEZAJI wapya wa Yanga na wale wa zamani wanatarajia kuanza kuingia nchini wiki hii kwa ajili ya kujiandaa na kambi ya timu hiyo inayotarajiwa kuanza…

MONDI AMPA MSALA KIBA!

DAR ES SALAAM: Weka pembeni nyimbo zake za mwaka huu za Tetema, The One na Inama, sasa ni zamu ya Kanyaga kutoka kwa staa wa…