Marce Ben Komba
MASHABIKI SIMBA WAMNYONYA DAMU INONGA…WAMGEUZA TIBA YA KUPONEA MAUMIVU YAO
Kuna vichaka viwili kichaka cha ubora na kichaka cha ubovu, nafikiria Simba wanapaswa kukubali kujificha kwenye kichaka cha ubovu kwasababu watakuwa wanajiambia ukweli wao...
BOSS SIMBA:-HATUWEZI KUKUMBATIA MAJINA…MASTAA NANE SIMBA KUFYEKWA…AMEZUNGUMZA HAYA
Simba bado wanaendelea kuugulia maumivu ya kufungwa kwa mara ya pili katika msimu mmoja wa Ligi Kuu Bara na watani wao, Yanga lakini tayari...
MASHABIKI SIMBA WAKUBALI UBORA WA YANGA…SOKA LA BONGO KUKUWA KWA KASI
Mpira wa Tanzania unazidi kukua kwa kasi, asilimia kubwa ya mashabiki wa Simba wakihojiwa unaona kabisa wanaongea uhalisia wa mpira kuliko zamani wengi wanasema...
MASTAA HAWA WALIOTEMWA SIMBA…WATWAA UBINGWA WA LIGI KIBABE…KOCHA ALIFARIKI
Timu ya Jeshi APR FC ndio Mabingwa wa Ligi Kuu ya Rwanda 2023/2024.
Kikosi cha kocha Thierry Froge kilipata ushindi wa 1-0 dhidi ya Kiyovu...
FEISAL SALUM FEI TOTO AMPIGA KO AZIZ KI…VITA YA WABABE HAO...
Bao pekee la kiungo Feisal Salum Abdallah dakika ya 13 limeipa klabu ya Azam FC ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu SC katika...
SHABIKI WA SIMBA ATOLEWA POLISI NA SHABIKI WA YANGA…AKABILIWA NA TUHUMA...
Mwanachama wa Klabu ya Simba maarufu kama GB64 hii leo ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa na Polisi kabla ya mchezo wa watani wa...
BENCHIKA KUSTAAFU SIMBA?…HAKUBALI KUHARIBU CV YAKE…TIMU ALIYOPITA ALISTAAFU
Kwa miaka kadhaa sasa nimekuwaa nikifatilia soka la Bara la Afrika na moja ya watu ambao ninawafahamu na wenye heshima kwenye soka la Afrika...
YANGA KUTOSHIRIKI KOMBE LA MUUNGANO?…BAADA YA MIAKA 20 MASHINDANO YAREJEA
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20 Kombe la Muungano linarejea tena wakati ambao Taifa linasherehekea maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa...
GAMONDI:- “KATIKA MAISHA USIJIAMINISHE SANA…BADO TUNA GEPU KUBWA…AMEFUNGUKA HAYA
Kocha Mkuu wa Young Africans SC, Miguel Gamondi, amefunguka kwamba, suala la ubingwa kwa sasa ni mapema kuzungumzia, licha ya kwamba tuna nafasi kubwa...
SAKATA LA PRINCE DUBE NA AZAM LINAVYOTAKA KULETA AIBU KWENYE...
Kuna vitu vinakera sana. Kuna vitu vinakwaza mno Unajiuliza mpaka sasa katika dunia ya leo bado tunaishi katika zama za kale.
Ni kama hili tukio...