Home Authors Posts by Marce Ben Komba

Marce Ben Komba

659 POSTS 0 COMMENTS
Content Creator | Web Specialist Certified by Google | Digital Marketing Officer Certified by Google | Creative Graphic Designer Certified by California institute of the arts | SEO Expert Certified by Hubspot Contact marcekomba@gmail.com

KOMBE LA SHIRIKISHO LAVURUGWA NA SIASA…CAF WAINGILIA KATI…WATOA USHINDI WA MEZANI...

0
Shirikisho la Sola Barani Afrika (CAF) limewapa Klab ya RS Berkane ushindi wa Mabao 3 dhidi ya USM Algers ya nchini Algeria. Matokeo haya ni...

KOCHA MSIMBAZI…SIMBA INJAKABILIWA NA WACHEZAJI WENGI WALIOKOSA KASI…ISHU NZIMA IPO HIVI

0
Kama kuna kitu kinawaumiza Simba basi ni kitendo cha kikosi chao kupoteza mechi zote mbili za Ligi Kuu Bara ndani ya msimu mmoja tena...

JKT TANZANIA YALAMBA MAMILIONI HAYA…NI BAADA YA KUWABANIA YANGA…LUTENI KANALI AFANYA...

0
Maafande wa JKT Tanzania wamelamba Sh30 milioni baada ya kutoka suluhu (0-0) katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Yanga kwenye Uwanja...

FEI TOTO AANZA TAMBO AZAM FC…AWATAJA MABEKI HAWA ANAWAOGOPA…AMEFUNGUKA HAYA

0
Kiungo wa Azam FC, Feisal Sulum 'Fei Toto' amewataja mabeki wanaompa changamoto awapo uwanjani na kumfanya atumie akili nyingi kupenya katikati yao, akisema wawili...

KUMBE HIKI NDIO CHANZO CHA SIMBA KUFUNGWA NA YANGA…ISHU NZIMA A-Z...

0
Mchambuzi wa masuala ya soka kutoka EFM Radio, George Ambangile amesema kuwa mchezaji aliyevuruga mfumo wa Simba SC kwenye dabi ya Kariakoo ni mshambuliaji...

MOTO WA YANGA WAIKUMBA LIGI KUU MOROCCO…NABI AFANYA MAAJABU HAYA

0
Kile ambacho alikifanya Kocha wa zamani wa Yanga Nasreddine Nabi akiwa na Wananchi ameendeelea kukifanya kule Morocco akiwa na FAR Rabat. Hadi sasa FAR Rabat...

WACHEZAJI WA YANGA WATIMULIWA AZAM COMPLEX…WALIKUWA WAKIFANYA MAZOEZI…ISHU NZIMA IPO HIVI

0
Wakati Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo ukishindwa kutumika kwenye mechi ya Ligi Kuu kati ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga, kutokana na sehemu ya...

MOURINHO AVUNJA UKIMYA AWACHANA MAN U…”SIKUPEWA SAPOTI NA UONGOZI…AMEONGEA HAYA

0
Kocha Jose Mourinho anadai alipokuwa mwalimu wa Manchester United hakupewa ushirikiano kama anaoupata Erik ten Hag hivi sasa. Katika mahojiano na gazeti la Telegraph, Mourinho...

MANJI AWAKATAA WANA YANGA…MECHI YA SIMBA ISINGEONYESHWA TU…AMEFUNGUKA HAYA

0
Mfadhili na Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Yusuf Manji amesema kwake staa mkubwa ni mmoja tu kwa sasa. Stephane Aziz Ki. Manji ambaye amewahi kuiongoza...

HARMONIZE AMCHANA MO DEWJI…ATAJA SABABU YA SIMBA KUFANYA VIBAYA…AMTAJA BARBARA

0
Supastaa wa Bongo Fleva, msanii Harmonize anasema tatizo la Klabu ya Simba lilianza baada ya aliyekuwa CEO wa klabu hiyo, Barbara Gonzalez kujiuzulu wadhifa...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS