Staff Desk
SIMBA WAELEKEZA NGUVU ZAO LIGI KUU
Baada ya kuondolewa na Al Ahly ya nchini Misri katika michuano ya African Football League (AFL), Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC,...
MOSES PHIRI NGOMA NGUMU SIMBA
Imefahamika kuwa Mshambuliaji kutoka nchini Zambia Moses Phiri hana furaha ndani ya Klabu ya Simba SC, na huenda akaondoka kikosini hapo kama mambo yataendelea...
KOCHA WA SIMBA AFUNGUKA HAYA, HILI NDIO JAMBO LILIPO MBELE YAO
Kocha wa Simba Roberto Oliviera ‘Robertinho’, amesema timu yake inacheza kwa malengo ndio maana anazingatia zaidi matokeo uwanjani kuliko kile watu wanachohoji kuhusu timu...
UNAAMBIWA AZIZI KI NDIO KINARA WA MAGOLI YA NAMNA HII
Baada ya Stephane Aziz Ki kufunga mabao matatu ‘hat-trick’ katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Benjamin...
ROBERTINHO AMTAJA STAA HUYU KUWA NDIO KARATA YAKE KIKOSINI SIMBA
Kocha wa Simba, Oliviera Robertinho amesema moja ya silaha muhimu alizonazo kwenye kikosi chake ni Kibu Denis ambapo anaweza kumbadilisha kumpa jukumu lolote gumu...
HAO YANGA vs SINGIDA VIKOSI VYAO LEO SIO POA
Kwa vikosi na takwimu zilivyo leo lazima mtu aseme sana kwenye Uwanja wa Mkapa, Yanga itakavyowakabisha Singida kwenye mechi ya Ligi. Dakika 90 za...
BANGALA AMKINGIA KIFUA FEI TOTO
Kiungo wa Azam Yannick Bangala amefurahishwa na kiwango cha Feisal Salum ‘Fei Toto’ akisema jamaa ameanza kuwa mtamu huku akimpa ushauri juu ya mashabiki...
YANGA SASA WAWATAMANI AL AHLY BAADA YA SIMBA KUSHINDWA KUTAMBA
UONGOZI wa Yanga, umesema kuwa, umetumia mchezo wa Simba kuwasoma wapinzani wao, Al Ahly ambao watakutana katika michezo ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu...
DUKE ABUYA AIPIGA MKWARA YANGA
Nyota wa Singida Big Stars, Duke Abuya amesema ni muda kwao wa kuonyesha ubora wao mbele ya Yanga kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
“Kila...
UONGOZI YANGA WAKAA KIKAO AJENDA KUU NI UBINGWA TU
Oktoba 25 Kamati ya Utendaji ya Yanga chini ya Rais Eng Hersi Said imekaa kikao cha pili cha kikatiba kwa mwaka 2023 kujadili mambo...