Staff Desk
SIMBA KIVUMBI LEO UGENINI ISHU IKO HIVI
Majibu ya nani atakuwa mshindi atakayesonga hatua ya nusu fainali kwenye mashindano mapya ya African Football League kati ya wawakilishi wa Tanzania, Simba dhidi...
NGOMA AIWEKA SIMBA MABEGANI KWA STAILI HII MISRI
Wengine wanapenda kumuita Midfielder Teacher, Ni kiungo asiye na mambo mengi uwanjani.
Always ni mtu wa kutimiza majukumu yake, Ni better kwenye tactical philosophy, tactical...
HAWA TUNAO, MBRAZILI AZATAJA DAKIKA 45 ZA MWANZO, AWATOA HOFU MASTAA
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
LAZIMA KIELEWEKE….. ROBERTINHO AWAFANYIA UMAFIA WAARABU
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA AZAM LEO
KikosiĀ rasmi cha YANGA kitakachocheza dhidi Azam kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC, utakaofanyika Uwanja wa Mkapa, muda mchache ujao.
UONGOZI WA YANGA WAFUNGUKA UGUMU WA MECHI YA LEO DHIDI YA...
Kuelekea Dabi ya Dar, leo Oktoba 23, 2023, uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa wanatambua utakuwa ni mchezo mgumu kutokana na aina ya wachezaji...
HAKUNA UNYONGE AL AHLY ANAPIGIKA MBONA
Ubora wa kikosi cha Simba ambao unazungumzwa kwenye midomo na mashabiki pamoja na viongozi ni vitu viwili ambavyo vinafikirisha.
Haina maana kwamba wachezaji wa Simba...
GAMONDI ATAMBA HAO AZAM WAJE TU
Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wachezaji wake wote wapo tayari kwa ajili ya mchezo dhidi ya AzamFC.
Leo ni Mzizima Dabi...
ONANA ATOA YA MOYONI MARUDIANO DHIDI YA AL AHLY
Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Willy Onana, ametoa kauli ya kishujaa kueleka mchezo wao marudiano dhidi ya Al Ahly hapo kesho Oktoba 24, 2023.
Onana...