Staff Desk
SIMBA WAJUE MAMBO HAYA KABLA YA KUKUTANA TENA NA AL ALHLY
Kwa madaraja ya timu zinazokutana kwenye mchezo wa leo, natarajia kuona mpira uliotulia, pasi nyingi na kupeana nafasi ya kucheza sio kukamiana na kugongana...
ROBERTINHO APANGUA KIKOSI UGENINI
KOCHA wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ wala hana presha na mchezo wa marudiano akiwatumia salamu Al Ahly kuwa wanakwenda kupambana, huku akipangua kikosi.
Simba ilitarajiwa...
GAMONDI AWASOMA WAPINZANI WA SIMBA KWA MBALI
KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi alikuwa jukwaani akiwasoma wapinzani wao kwenye Ligi Kuu Bara, Simba ambao watakutana nao mwezi ujao, lakini pia Al Ahly...
DABO AKAZA NA AZAM AFUNGUKA HAYA KUHUSU MECHI DHIDI YA YANGA
WAKATI Azam ikiwa mgeni wa Yanga kesho katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, kocha wa kikosi hicho, Youssouph Dabo amesema licha ya ugumu uliopo...
ONANA AJICHIMBIA KABURI MWENYEWE MSIMBAZI
Pale Simba Onana ameanza kujichimbia kaburi yeye mwenyewe kwasababu amesahau kabisa kuwa Simba sio Ihefu.
Onana hakumbuki kabisa alisajiliwa kwa gharama kubwa na mbwembwe na...
YANGA VS AZAM…WATAKUFA VIBAYA
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
WENGER AIPA SIMBA SC DAKIKA 45
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
SIMBA WATUMA VIGOGO KABLA YA KIKOSI
Imefahamika kuwa baadhi ya vigogo wa Simba SC wametangulia nchini Misri kwa ajili ya kuweka mambo sawa na moto, kabla ya mchezo wa Mkondo...
SIMBA HAKUNA KUPOA KUSEPA LEO JIONI KUWAFUATA AL AHLY
Kikosi cha Simba SC kinatarajia kuondoka nchini jioni hii ya leo Oktoba 21, 2023 kuelekea nchini Misri kwa ajili ya kuvaana na Al Ahly.
Simba...
KOSA LA SIMBA LILIKUWA HAPA DHIDI YA AL AHLY
Mpira ni mchezo wa makosa hilo lipo wazi na ilikuwa hivyo kwenye mchezo wa ufunguzi wa Afrinca Football League kati ya Simba dhidi ya...