Staff Desk
WALETENI TUWAONYESHE
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
ANGUKO LA YANGA DHIDI YA IHEFU WA KULAUMIWA HUYU HAPA
Wananchi wanatoka vichwa chini Highland Estates. Kwa mara nyingine tena highland Estates uwanja mgumu kwa Wananchi, wanadondosha alama tatu kama ilivyokua msimu uliopita.
Yangasc walifanya...
HERSI ATOBOA SIRI YAYANGA NA MAKAMPUNI HAYA
Rais wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans, Hersi Said amesema kufanya vizuri kwa klabu hiyo kuanzia uwanjani hadi kwenye utendaji wao, kumezivutia...
JE SIMBA WATAENDELEZA UBABE LEO!?
Wekundu wa msimbazi Simba SC, leo Oktoba 5, 2023 waashuka dimbani kukabilaiana na Tanzania Prisons ambapo swali la msingi ni; wataendeleza ubabe wa unbeaten...
BAADA YA KUPIGA MPIRA PAPATUPAPATU SIMBA WAOMBA UTULIVU SASA
Kutokana na kikosi cha Simba kucheza mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika mpira papatupapatu, Kocha Mkuu wa Simba Robert Oliveira ameweka wazi kuwa...
YANGA YATOA TAMKO HILI BAADA YA KUSHINDWA KUTAMBA MBELE YA IHEFU
Uongozi wa Yanga umesema ligi bado ndefu hivyo bado nafasi ipo kufanya vizuri mechi zinazofuata.
Oktoba 4, 2023 ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma...
KISA WACHEZAJI HAWA WAWILI SIMBA YACHIMBA MKWARA MZITO
Huku wakitarajiwa kuvaana na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa leo Alhamisi kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya, Meneja wa Habari...
NGOJA TUWAONYESHE,MBRAZIL ,MINZIRO WATAMBIANA
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
Kazi imeanza huko Simba…ROBERTINHO ATANGAZA MAMBO AWILI
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
INONGA MAYELE NDANI YA JAHAZI MOJA CONGO
Licha ya kuendelea kuuguza majeraha aliyoyapata katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Coastal Union, Septemba 21 katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam,...