Home Authors Posts by Staff Desk

Staff Desk

1810 POSTS 0 COMMENTS

WALETENI TUWAONYESHE

0
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo

ANGUKO LA YANGA DHIDI YA IHEFU WA KULAUMIWA HUYU HAPA

0
Wananchi wanatoka vichwa chini Highland Estates. Kwa mara nyingine tena highland Estates uwanja mgumu kwa Wananchi, wanadondosha alama tatu kama ilivyokua msimu uliopita. Yangasc walifanya...

HERSI ATOBOA SIRI YAYANGA NA MAKAMPUNI HAYA

0
Rais wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans, Hersi Said amesema kufanya vizuri kwa klabu hiyo kuanzia uwanjani hadi kwenye utendaji wao, kumezivutia...

JE SIMBA WATAENDELEZA UBABE LEO!?

0
Wekundu wa msimbazi Simba SC, leo Oktoba 5, 2023 waashuka dimbani kukabilaiana na Tanzania Prisons ambapo swali la msingi ni; wataendeleza ubabe wa unbeaten...

BAADA YA KUPIGA MPIRA PAPATUPAPATU SIMBA WAOMBA UTULIVU SASA

0
Kutokana na kikosi cha Simba kucheza mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika mpira papatupapatu, Kocha Mkuu wa Simba Robert Oliveira ameweka wazi kuwa...

YANGA YATOA TAMKO HILI BAADA YA KUSHINDWA KUTAMBA MBELE YA IHEFU

0
Uongozi wa Yanga umesema ligi bado ndefu hivyo bado nafasi ipo kufanya vizuri mechi zinazofuata. Oktoba 4, 2023 ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma...

KISA WACHEZAJI HAWA WAWILI SIMBA YACHIMBA MKWARA MZITO

0
Huku wakitarajiwa kuvaana na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa leo Alhamisi kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya, Meneja wa Habari...

NGOJA TUWAONYESHE,MBRAZIL ,MINZIRO WATAMBIANA

0
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo

Kazi imeanza huko Simba…ROBERTINHO ATANGAZA MAMBO AWILI

0
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo

INONGA MAYELE NDANI YA JAHAZI MOJA CONGO

0
Licha ya kuendelea kuuguza majeraha aliyoyapata katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Coastal Union, Septemba 21 katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam,...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS