MOTO WA LEO KWA MKAPA LAZIMA APIGWE MTU, TAMBO ZAO NI NOMA
KAMA utakwenda kwa Mkapa leo ukiwa na matokeo yako mfukoni, basi jiandae kurudi nyumbani unalia, kwani lolote linaweza kutokea. Yanga itakuwa mwenyeji wa Simba leo Jumamosi katika mchezo unaosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka nchini, utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Kila timu imejiandaa vya kutosha na mashabiki wa kila upande unawatambia wenzao kwa kuwaambia “mmekwishaa”...
RASMI JESHI LA YANGA LEO NOVEMBA 7 DHIDI YA SIMBA KWA MKAPA
YANGA leo wanacheza mchezo wa 10 Uwanja wa Mkapa ikiwa ni dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Sven Vandenbroeck.Hiki hapa kikosi rasmi cha Yanga kitakachoanza leo Novemba 7, kipo namna hii:-1. Metacha Mnata2.Kibwana Shomari3.Yassin Mustapha 4.Lamine Moro 5.Bakari Mwamnyeto 6.Mukoko Tonombe 7.Farid Musa 8.Feisal Salum 9.Michael Sarpong10.Ditram Nchimbi 11.Tuisila KisindaWachezaji wa akiba12.Farouk Shikalo13.Abdalah Shaibu14.Adeyum Saleh15.Zawadi Mauya16.Deus Kaseke17.Said Juma18.Yacouba Sogne
SIMBA YATOA ONYO KWA YANGA, YAWATAKA WATAFUTE PA KUPITIA
BEKI mkongwe wa Simba, Shomari Kapombe, kamwe hatakubali kufanywa njia ya kupitia washambuliaji wa timu pinzani wa Yanga huku akiwataka watafute njia nyingine ya kupitia lakini siyo kwake. Hiyo ni katika kuelekea pambano hilo la Dar es Salaam Dabi linalosubiriwa kwa hamu kubwa ambalo litapigwa leo Jumamosi Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Mkongwe huyo aliyecheza Dar es Salaam Dabi...
YANGA YATUPIA MABAO 11, SIMBA 21,CHEKI MWENDO WAO ULIVYO
LEO Novemba 7 Uwanja wa Mkapa ni Dar, Dabi kati ya Yanga v Simba saa 11:00 ikiwa ni ya kwanza kwa msimu wa 2020/21 kwenye Ligi Kuu Bara.Zote zimecheza jumla ya mechi tisa ndani ya ligi na Yanga imeshinda mechi saba na kulazimisha sare mbili.Ipo nafasi ya pili na ina pointi 23.Hizi hapa mechi za Yanga ndani ya Ligi...
KANE AFIKISHA MABAO 200
NYOTA wa Klabu ya Tottenham Hotspur Harry Kane ameweka rekodi ya kufikisha jumla ya mabao 200 klabuni hapo.Kane alifikisha idadi hiyo baada ya kufunga bao 1 kwenye ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Ludogorets kwenye Ligi ya Europa, Novemba 5.Anakuwa ni mchezaji wa tatu kufikisha idadi ya mabao hayo ndani ya Spurs akiwa nyuma ya Bobby Smith mwenye mabao...
NAMNA CHAMPIONI JUMAMOSI ILIVYOPANGA KIKOSI CHA KWANZA CHA YANGA LEO
NAMNA gazeti la CHAMPIONI Jumamosi lilivyopanga kikosi cha Yanga leo Novemba 7 ukurasa wa mbele
MAPILATO WA YANGA V SIMBA ACHA KABISA, KADI NYEKUNDU, PENALTI, ZIPO
UNAAMBIWA waamuzi wa leo wa mchezo wa Yanga na Simba utakaopigwa Uwanja wa Mkapa, kwao kutoa penalti na kadi nyekundu sio ishu ikiwa mchezaji atazingua hivyo leo wachezaji wana kazi kubwa ya kufanya ili kuzipa ushindi timu zao.Waamuzi ambao wapo kwenye orodha iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania ambao ni Ellyi Sasii, Mohamed Mkono, Frank Komba ,Abubakari Mturo, Abdalah...
NUNO ANA FURAHA KUMUONA DIOGO AKIFANYA YAKE LIVERPOOL
KOCHA Mkuu wa Wolves, Nuno Espirito Santo amesema kuwa ana furaha kubwa kumuona nyota wake wa zamani Diogo Jota akifanya vizuri ndani ya kikosi cha Liverpool chini ya Kocha Mkuu Jurgen Klopp.Wolves ilimuuza mshambuliaji huyo kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu England kwa dau la pauni milioni 14 kwenye usajili wa Septemba.Tangu atue ndani ya Anfield, Jota ameweza kufunga...
YANGA: SIMBA KUTUFUNGA KAZI IPO, LABDA WAIBE MATOKEO
UONGOZI wa Yanga umeweka bayana kuwa watani zao wa jadi Simba leo kuwafunga itakuwa ngumu labda waibe matokeo kwa kuwa kikosi kimekamilika kila idara.Yanga iliyo nafasi ya pili kwenye msimamo ikiwa na pointi 23 inakutana na Simba iliyo nafasi ya tatu ikiwa na pointi 19 zote zimecheza mechi 9.Kwa upande wa Yanga ambao ni wenyeji wanajivunia rekodi yao ya...
DAR DABI, CHEKI KOSI MATATA LA YANGA
LEO ni Dar Dabi Uwanja wa Mkapa saa 11:00 ambapo joto la mechi hiyo linazidi kuwa juu kadri muda unavyomeguka.Ni dakika 90 za nguvu ambapo kila mmoja atajua alichokipanda baada ya muda huo kukamilika.Cheki namna Kikosi cha Yanga ambacho kinatarajiwa kuanza leo ni Metacha Mnata Kibwana ShomariYassin Mustapha Lamine Moro Bakari Mwamnyeto Mukoko Tonombe Farid Musa Feisal Salum Michael SarpongYacouba Sogne Tuisila KisindaKwa mujibu wa Championi Jumatano