KICHAPO CHA MABAO 11 MWADUI HATA HAWAELEWI SABABU
KOCHA wa Klabu ya Mwadui, Khalid Adam amefunguka kuwa mpaka sasa bado hajajua tatizo ni nini ndani ya kikosi chake, kiasi cha kupelekea kufungwa mabao 11 ndani ya michezo miwili ya hivi karibuni huku matano kati ya hayo wakifungwa dhidi ya Simba, Jumamosi iliyopita. Kabla ya kipigo cha mabao 5-0 walichokipata kutoka kwa Simba, Mwadui waliingia kwenye mchezo huo na...
SIMBA V KAGERA LEO NI NGOMA NZITO UHURU, MITAMBO YA MABAO HII HAPA
HATUMWI mtoto dukani lazima dakika 90 ziamue nani mbabe ndani ya uwanja hasa kwa hawa wanaume wanapokutana ndani ya uwanja.Simba ikiwa na presha ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara inawakaribisha Kagera Sugar ambao presha yao ni kujinusuru kwenye mstari wa kushuka daraja hapo lazima ngoma ya kitoto isikeshe.Cheki namna balaa litakavyokuwa Uwanja wa Uhuru kwa timu hizi kusaka...
KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA YA WANAWAKE U 17 KAZINI LEO COSAFA
Saleh Jembe KIKOSI cha timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 17, leo Novemba 4 kinaanza kazi ya kutafuta rekodi ya ubingwa katika michuano ya Cosafa hapa jijini Port Elizabeth, Afrika Kusini.Vijana hao chini ya Kocha Edna Lema watawavaa Comoro katika mechi itakayopigwa saa 6:30 mchana kwa saa za Afrika Kusini ambazo ni saa 7:30 kwa nyumbani Tanzania.Tayari michuano...
NAHODHA JOHN BOCCO APEWA MIKOBA KUIMALIZA YANGA
BAADA ya kubaini kuwa huenda Simba ikawakosa washambuliaji wake wawili tishio Chris Mugalu na Meddie Kagere kutokana na majeraha, kocha wa timu hiyo Sven Vandenbroeck, ameweka mikakati ya kumtumia mshambuliaji wake mkongwe, John Bocco kuwamaliza Yanga. Simba na Yanga zinatarajiwa kukutana Novemba 7 katika Uwanja wa Mkapa ambapo taarifa kutoka Simba zinaeleza kuwa huenda timu hiyo ikawakosa washambuliaji wake wawili, Kagere na Mugalu ambao...
JINA LA DULLA MBABE LAONDOLEWA LKWENYE PAMBANO, SABABU ZATAJWA, ITABA NDANI
BONDIA maarufu Bongo, Abdallah Pazi 'Dulla Mbabe' ameondolewa kuzipiga na bondia kutoka DR Congo Alex Kabangu na nafasi yake imechukuliwa na Hussein Itaba.Pambano hilo limepangwa kufanyika Novemba 13 ukumbi wa Next Door Arena, Oysterbay na siku hiyo pia bondia nyota nchini Hassan Mwakinyo atapigana na bondia Jose Carlos Paz kutoka Argentina akiwania mikanda miwili.Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni Jackson Sport,...
LIVERPOOL YABAMIZA MTU MKONO
MECHI za hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa msimu huu 2020/21 zimeendelea kuchezwa kwenye viwanja mbalimbali.Usiku wa jana Novemba 3 2020, zilichezwa jumla ya mechi nane na kushuhudia vipigo vizito. Ni mechi tatu pekee ndizo zimemalizika kwa ushindi wa magoli mengi ambapo ni mechi ya Shakhtar wakiwa nyumbani wamefungwa 0-6 na Mönchengladbach, RB Salzburg wakiwa nyumbani...
KOCHA YANGA ATOA TAMKO KUHUSU POINTI MOJA
CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kupata pointi moja mbele ya Gwambina ni jambo jema kwani wachezaji wake walijituma kusaka ushindi mambo yakagoma. Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Gwambina Complex ulikamilika kwa dakika 90 kwa timu zote kutoshana nguvu na kugawana pointi mojamoja.Licha ya kupata sare hiyo Yanga iliwashusha nafasi ya kwanza Azam baada ya kufikisha pointi 23...
MBELGIJI WA SIMBA AFUNGUKIA KUHUSU AJIBU NA NDEMLA
MBELGIJI Sven Vandenbroeck, amefunguka kuwa amekoshwa na viungo wake Ibrahim Ajibu, Hassan Dilunga na Said Ndemla ambao walifunga mabao kwenye mechi yao dhidi ya Mwadui FC kwa kubainisha wazi hiyo inaonyesha hamtegemei mtu mmoja kwenye suala la kufunga. Mbelgiji huyo ameongeza kuwa mabao ya viungo hao yanamfanya sasa kuona timu yake ina uwezo wa kupata pointi kwa kufunga bila ya...
JEMBE LA KAZI YANGA LIPO KAMILI GADO
HATIMAYE baada ya kuwa nje ya uwanja kwa takriban miezi minne kufuatia jeraha la kifundo cha mguu, kiungo mshambuliaji wa Yanga, Balama Mapinduzi anatarajiwa kuanza rasmi mazoezi ya pamoja na wenzake mara baada ya timu hiyo kurejea jijini Dar keshokutwa Jumatano ikitokea Kanda ya Ziwa. Balama alipata jeraha hilo Juni, mwaka huu kwenye mazoezi ya Yanga iliyokuwa ikijiandaa na mchezo...
SURE BOY: AZAM FC TUNATAKA KOMBE LA LIGI KUU BARA
KIUNGO wa Azam FC, Aboubakar Salum ‘Sure Boy’, amebainisha wazi kuwa licha ya kupoteza pointi tano kati ya sita walizotakiwa kupata kwenye mechi zao mbili za Ligi Kuu Bara, kitendo hicho hakiwafanyi watoke kwenye mstari wa kugombea ubingwa. Kiungo huyo ameongeza kuwa wataendelea kupambana na kufikia ndoto yao hiyo kwa msimu huu kutokana na mechi nyingi ambazo wamezibakisha mkononi. Azam FC...