KIDUKU AMTWANGA KWA TKO MTHAILAND

0

 BONDIA Mtanzania, Twaha Kiduku amemtwanga bondia Sorimongkhon Singwancha kutoka Thailand kwa TKO raundi ya saba.Kiduku mkazi wa Morogoro aliibuka mbabe kwenye pambano hilo la WBC la uzito wa kilogramu 76 lililofanyika kwenye Ukumbi wa PTA uliopo Sabasaba.Mthailand huyo alikubali yaishe raundi ya saba baada ya kushushiwa mvua ya makonde ya maana kutoka kwa Kiduku ambaye alionekana kuwa bora mwanzo...

LAPTOP YAFICHUA HUJUMA SIMBA SC

0

 HATIMAYE siri imefi chuka kuwa kompyuta mpakato ‘laptop’ aliyokuwa akiitumia mtendaji mmoja wa Simba ndiyo imeonyesha kuwa timu hiyo inahujumiwa na wapinzani wao. Hivi karibuni Klabu ya Simba iliwatimua watendaji wake wanne, lakini haikuweka wazi sababu rasmi zilizochangia kuwatimua watu hao. Simba iliwatimua Meneja Patrick Rweyemamu, Kocha wa Makipa Muharami Mohammed, Ally Shantra na Jacob ambao wapo kitengo cha habari. Timu hiyo...

AZAM FC YAFIKIRIA KUTWAA UBINGWA WA LIGI KUU BARA

0

SALUM Abubakar, kiungo wa Azam FC maarufu kama Sure Boy amesema kuwa ana imani kwamba kikosi hicho kitafikia malengo ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kutokana na kasi ambayo wameanza nayo.Azam FC ni vinara wa Ligi Kuu Bara wakiwa wamecheza mechi tisa na kujiwekea kibindoni jumla ya pointi 22 na safu yao ya ushambuliaji imefunga jumla ya mabao...

YANGA INA BALAA, YATIBUA REKODI YA BIASHARA UNITED BAADA YA DAKIKA 248

0

USHINDI wa bao 1-0 walioupata Yanga jana Oktoba 31 dhidi ya Biashara United Uwanja wa Karume umetibua rekodi ya kikosi cha wanajeshi hao wa mpakani kucheza ndani ya dakika 180 bila kupoteza mbele ya Yanga kwenye mechi walizokutana kwenye uwanja wao wa nyumbani.Kwa msimu wa 2018/19 Yanga ilipokutana na Biashara United ililala kwa bao 1-0 na msimu wa 2019/20...

CORONA YATIBUA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

0

 SHIRIKISHO  la Soka Barani Afrika (CAF) limelazimika kuahirisha fainali ya Ligi ya Mabingwa iliyokuwa ichezwe Novemba 6, 2020, kutokana na kucheleweshwa kwa pambano la marudio la nusu fainali baina ya Zamalek ya Misri na Raja Casablanca ya Morocco kufuatia wachezaji zaidi ya 10 wa Raja kupatikana na Covid-19.Nusu fainali hiyo ilikuwa imepangwa kuchezwa  jan, Oktoba 31 lakini kwa sasa...

SIMBA YAINGIA ANGA ZA UD SONGO, KULIVUTA JEMBE HILI LA KAZI

0

 IMEFAHAMIKA kuwa, kiungo mshambuliaji wa Simba raia wa Msumbiji, Luis Miquissone, ndiye aliyetoa mapendekezo ya usajili wa kiungo mshambuliaji, Pachoio Lau Há King anayekipiga UD Songo ya nchini huko. Imeelezwa kuwa, Simba imepanga kumsajili kiungo huyo wa kimataifa raia wa Msumbiji katika kukiboresha kikosi chao kinachojiandaa na Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2020/21. Wakati Simba ikiwa katika mipango hiyo ya...

KAZE: HAKUNA MCHEZAJI ANAYEWEZA KUCHEZA MECHI NNE

0

 CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hakuna mchezaji wake anayeweza kucheza mechi nne ndani ya siku 12 kutokana na ratiba kuwataka kufanya hivyo jambo ambalo linamlazimu kubadili kikosi mara kwa mara.Kaze ambaye amesaini dili la miaka miwili amekiongoza kikosi cha Yanga kwenye mechi tatu na ameshinda zote ndani ya uwanja na kusepa na jumla ya pointi tisa.Alianza...

ISHU YA SIMBA KUYUMBA MSIMU WA 2020/21, SIMBA YAFAFANUA

0

 UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa sasa unaamini kwamba una nguvu ya kutetea taji la Ligi Kuu Bara kwa mara nyingine tena licha ya kuanza kwa kuyumba ndani ya msimu wa 2020/21.Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa kwenye maisha ya soka kuna mapito ya kipekee ambayo wakati mwingine unashindwa kuwa na chaguo kutokana na matokeo ambayo unayapata...

CRISTIANO RONALDO APONA CORONA, SASA KAZIKAZI

0

 UONGOZI wa Juventus umethibitisha kuwa nyota wao Cristiano Ronaldo kwa sasa tayari ameshapona COVID -19 baada ya kubaninika na Virusi hivyo ambapo alikaa karantini kwa muda wa siku 19.Ronaldo akiwa karantini alikosa mechi nne ndani ya kikosi chake ikiwa ni pamoja na ile dhidi ya Barcelona ya mshikaji wake Lionel Messi katika Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati wakipoteza kwa...

KOCHA MANCHESTER UNITED APATA HOFU KUIKABILI ARSENAL

0

 OLE Gunnar Solskajer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa leo Novemba Mosi ana mtihani mzito wa kusaka pointi tatu mbele ya Arsenal.Manchester United ambayo imepoteza mechi mbili Uwanja wa Old Trafford mbele ya Crystal Palace na na Tottenham itawakaribisha tena Arsenal saa 1:30 usiku kusaka pointi tatu muhimu.Arsenal chini ya Kocha Mkuu Mikel Arteta, imeshinda mechi tatu na...