MTIBWA SUGAR YAMALIZANA NA MAJEMBE MANNE FASTA

0

KIUNGO wa zamani wa Simba na kikosi cha KMC amejiunga na timu yake ya zamani ya Mtibwa Sugar.Humd alipigwa chini na uongozi wa KMC na kujiunga na Arusha United ya Ligi Daraja la kwanza na sasa msimu ujao atakuwa ndani ya Mtibwa Sugar,Huyu anakuwa ni mchezaji wa nne kutangazwa na Mtibwa Sugar baada ya kuanza na Awadhi Juma wa...

UMILIKI WA KLABU, DK MWAKYEMBE AMALIZA KABISA, SASA ASILIMIA 49 LAZIMA MWEKEZAJI ZAIDI YA MMOJA

0

DK MWAKYEMBEBaada ya mzunguko, hatimaye Waziri Mkuu wa Habari, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe amewataka viongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania TFF kuongeza uwazi katika masuala mbalimbali ili waweze kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuondoa Hali ya sintofahamu ambayo inaweza kujitokeza.Mwakwembe ameeleza hayo baada ya kikao walichokifanya juzi Julai 23 na 24 na viongozi wa TFF, BMT, Bodi ya...

JESHI LA MTU 16 TIMU YA TAIFA LILILOPO MAZOEZINI LEO

0

KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kinaendelea na mazoezi ya kujiaanda na mchezo dhidi ya Kenya Julai 28 uwanja wa Taifa.Hili hapa jeshi kamili lililopo mazoezini muda huu1 Juma Kaseja (KMC)2 Metacha Mnata (Yanga) 3 Paul Godfrey (Yanga) 4 Paul Ngalema (Namungo FC) 5 David Mwantika (Azam FC) 6 Idd Mobi (Polisi Tanzania) 7 Kelvin Yondan (Yanga)8 Abdulazi Makame (Yanga) 9 Salim...

SASA YANGA KUKIPIGA NA WALE WALIOITOA SHOO EVERTON YA ENGLAND

0

Ikiwa ni katika kuelekea kilele cha Wiki ya Mwananchi, Yanga imepanga kucheza mchezo wake wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya wababe wa Everton FC ambao no Kariobang Shark's ya nchini Kenya.Wiki hiyo ya Mwananchi iliyopewa jina la ' Kukusanya Kijiji' kilele chake kinatajiwa kuhitimishwa Agosti 4, Mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Kariobang hivi karibuni walicheza...

AZAM FC: TUPO TAYARI KUPAMBANA KIMATAIFA

0

UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa tayari umeanza maandalizi ya kujiaanda na michuano ya kimataifa kweye kombe la Shirikisho.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Azm FC, Jaffary Maganga amesema kuwa Kocha Mkuu ameaacha programu maalumu ambayo itatumika na wachezaji."Kocha Mkuu ameacha programu maalumu ambayo inaendelea na lengo ni kujiweka tayari kwa ushindani."Tutacheza na Fasil Kenema ya Ethiopia mchezo...

INTER MILAN NA MANCHESTER UNITED ZINAKOMOANA ISHU YA LUKAKU

0

ROMELU Lukaku mshambuliaji wa Manchester United anatajwa kukamilisha dili lake la kujiunga na Inter Milan wiki ijayo huku United nao wakiwakomoa mabosi wa Milan.Mabosi wa timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Serie A wanahaha kuipata saini ya nyota huyo msimu ujao.Milan imetenga dau la pauni milioni 54 licha ya kushindwa kufikia mchanganuo ambao mabosi wa United wanautaka kwa mshambuliaji huyo...

YANGA TAFADHARI MALIZENI HII HADITHI YA YONDANI…..

0

Na Saleh AllyYANGA tayari ipo kambini mjini Morogoro kujiandaa na msimu mpya wa 2019/20, msimu ambao mashabiki wengi wa Jangwani watakuwa na matarajio makubwa.Matarajio makubwa kwa kuwa sasa wanajua ndani ya klabu yao kuna mabadiliko makubwa, watakuwa na viongozi waliochaguliwa na si wale wanaokaimu baada ya waliochaguliwa kuondoka.Wanajua Yanga iko katika mikono salama, kinachotakiwa kwa sasa ni wahusika kufanya...

CHAMA NAYE AANZA MAKEKE YAKE LEO SIMBA IKIMPIGA 4-1 PLATINUM STARS

0

CLATOUS Chama, kiungo wa Simba leo amefanya yake wakati Simba ikiibuka kidedea kwa ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Platinum Stars.Mchezo huu ambao ni maalumu kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao ni wa pili kwa Simba kucheza baada ya kuweka kambi nchini Afrika Kusini.Chama amefunga mabao mawili dakika ya 11, 58 na mtupiaji mwingine ni Shiboub aliyefunga kwa...

NAMUNGO FC YAFANYA BIASHARA NA BAROLA WA BIASHARA UNITED

0

NURDINE Barola aliyekuwa mlinda mlango wa kikosi cha Biashara United amesajiliwa na timu ya Namungo FC kwa kandarasi ya mwaka mmoja.Barola alifanya kazi na Kocha Mkuu wa Namungo FC, Hitimana Thiery kabla ya kutimuliwa ndani ya kikosi cha Biashara.Anaungana na bosi wake wa zamani ambaye ndiye aliipandisha Namungo FC kwenye Ligi Kuu Bara kutoka Ligi Daraja la Kwanza.

BEKI YANGA KUTIMKIA LIPULI FC

0

 ANDREW Vincent 'Dante'  beki wa Yanga anatajwa kujiunga na kikosi cha Lipuli chenye maskani yake mkoani Iringa.Habari zinaeleza kuwa sababu kubwa ya nyota huyo kujiunga na klabu hiyo ni kutokuwa na maelewano mazuri na mabosi wa timu yake ya Yanga hasa kwenye masuala ya maslahi.Mpaka sasa bado Dante hajajiunga na timu kambini Morogoro huku habari za ndani zikeieleza kuwa...