SUALA LA VAR AFRIKA NI PASUA KICHWA

0

TIMU ya Esperance imetwaa ubingwa wa klabu bingwa Afrika kwenye mchezo wa fainali ya pili dhidi ya Wydad Casablanca baada ya Wydad kugoma kuendelea na mchezo huo dakika ya 62 kwa kutokubaliana na maamuzi ya mwamuzi.Kwenye mchezo huo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa, Wydad walisawazisha bao walilofungwa na mwamuzi akalikataa kwa kudai wameotea jambo ambalo wachezaji hawakukubali na kuomba...

NYOTA HAWA WATATU KIKOSI CHA KWANZA SIMBA WAMSHANGAZA MBELEGIJI

0

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems amesema kuwa anaona ajabu kwa nini nyota wake watatu wa kikosi cha kwanza hawajaitwa timu ya Taifa itakayoshiriki michuano ya Afcon nchini Misri mwezi Juni mwaka huu.Aussems amesema kuwa ni muda wa Taifa kutumia wachezaji wenye uzoefu wa mashindano ya kimataifa kwa kuwa wana changamoto mpya ambazo wamezipitia."Kwa Taifa ambalo linaingia kwenye michuano...

KAZI IPO LEO FAINALI FA ILULU, LIPULI VS AZAM FC

0

LEO Azam FC itamenyana na Lipuli fainali ya kombe la Shirikisho mchezo utakaochezwa uwanja wa Ilulu, Lindi ikiwa ni mara ya kwanza kwa timu hizi kukutana fainali.Azam FC ilitinga hatua ya fainali baada ya kushinda bao 1-0 dhidi ya KMC mchezo wa nusu fainali uliochezwa uwanja wa Chamanzi.Lipuli ilitinga hatua hii baada ya kushinda kwa mabao 2-0 dhidi ya...

Meddie Kagere akabidhiwa tunzo yake.

0

Moja ya dhumuni kuu la tovuti yetu ni kusheherekea mafanikio ya watu ambao wanafanya vizuri katika ulimwengu huu wa soka kwa Tanzania. Toka mwanzo wa msimu wa Ligi Kuu Tanzania bara, tovuti imekuwa ikitoa zawadi kwa wafungaji bora kila mwezi, ikiwa na lengo la kutambua mchango wao.Msimu wa ligi kuu 2018/2019 umemalizika na Meddie Kagere ameibuka kuwa...

SIMBA WAFUNGUKA JUU YA KUMSAJILI AJIBU WA YANGA

0

UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa sasa hauna haraka ya kufanya usajili kwa kuwa walikuwa wanasubiri ripoti ya mwalimu na tayari wameshaipata hivyo watatoa majibu kuhusu suala la usajili ikiwemo na suala la kumsajili nyota wa Yanga, Ibrahim Ajibu.Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Mohamed Dewji 'Mo' amesema kuwa kwa sasa hawajafanya usajili wa mchezaji yoyote yule wa nje...

SAMAKIBA ITADUMU MILELE

0

NAHODHA wa timu ya Taifa, Mbwana Samatta amesema kuwa mpango wa kuisaidia jamii utakuwa ni wa kudumu kwa kuwa ni sehemu ya maisha kuwakumbuka wahitaji.Samatta na Ali Kiba wameandaa mchezo maalumu wakiwa na kampeni yao inayokwenda kwa jina la nifuate na muunganiko wao unaitwa SAMAKIBA Foundation, Juni 2 watakuwa na mchezo uwanja wa Taifa.Akizungumza na Saleh Jembe, Samatta amesema...

KIBA ATAJA SABABU YA NIFUATE PROJECT, JUNI 2 KUWAKA TAIFA

0

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Ali Kiba amesema kuwa sababu kubwa za kuandaa mchezo maalumu utakaochezwa jumapili uwanja wa Taifa ni kuisaidia jamii inayowazunguka.Alikiba na Mbwana Samatta wameandaa mchezo maalumu wakiwa na kampeni yao inayokwenda kwa jina la nifuate na muunganiko wao unaitwa SAMAKIBA Foundation, unawajumuisha wanamichezo na wasanii pamoja na mashabiki wote.Akizungumza na Saleh Jembe, Ali Kiba...

YANGA WAPEWA BURE MBADALA WA MAKAMBO

0

UONGOZI wa Mwadui FC umesema kuwa upo tayari kuwapa nyota wao Salum Aiyee hata bure endapo watakuwa wanahitaji saini yake msimu ujao.Yanga kwa sasa inatafuta mbadala wa Heritier Makambo ambaye amesepa Yanga akiwa amefunga jumla ya mabao 17 msimu huu na kujiunga na kikosi cha Horoya ya Guinea huku Aiyee akiwa na mabao 18.Katibu wa Mwadui FC, Ramadhan Kilao...

UKIACHANA NA WALE WANAOTEMWA YANGA, HAWA HAPA WANATOLEWA KWA MKOPO

0

Wakati maboresho ya kikosi cha Yanga yakiendelea kufanyika hivi sasa kwa kusajili wachezaji wapya, baadhi wametajwa kuondolewa kwa mkopo.Yanga hivi sasa imesajili wachezaji takribani saba wapya ikiwa na malengo makubwa ya kuurejesha ubingwa wake baada ya kuukosa kwa misimu miwili mfululizo.Wachezaji wanaotajwa kuondolewa kwa mkopo ni pamoja na Mrisho Ngasa, Abdallah Shaibu ‘Ninja’.Wengine ni Deus Kaseke, Jaffar Mohamed na...