NAMUNGO FC KUMCHOMOA MMOJA KUTOKA SIMBA

0

ZANA Coullibary mzee wa kumwaga na kumimina maji sasa ni wazi msimu ujao atakuwa ndani ya kikosi cha Namungo FC endapo dili litakamilika akitokea Simba.Kocha wa Namungo FC, Hitimana Thiery amesema kuwa mipango ya usajili inaendelea hivyo wakati ukifika kila kitu kitakuwa sawa."Tupo sawa kwa ajili ya msimu mpya na kazi yetu ni kusajili wachezaji wenye uzoefu ambao watatuletea...

ALGERIA BINGWA MPYA WA AFRIKA, AMNYOOSHA SENEGAL KIDOGO TU

0

BAGHDAD Bounedjah bao lake la dakika ya pili limetosha kuipa timu ya Algeria ubingwa wa Bara la frika kwa mwaka wa 2019 nchini Misri dhidi ya Senegal ambao hawajaambulia hata bao.Algeria wanaibuka kifua mbele kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Senegal kwenye michuano iliyomalizika nchini Misri.Hii inakuwa ni baada ya miaka 29 kupita hatimaye Algeria wanatawazwa kuwa mabingwa...

JESHI KAMILI LA AZAM FC LEO NUSU FAINALI KAGAME, CHIRWA OUT

0

Kikosi rasmi cha  Azam FC, kinachotarajia kumenyana dhidi ya AS Maniema ya Kongo, kwenye mchezo wa nusu fainali ya michuano ya Kombe la Kagame, utakaofanyika Uwanja wa Nyamirambo leo Ijumaa saa 12.00 jioni kwa saa Rwanda (saa 1.00 usiku Tanzania). 16 Razak Abalora02 Abdul Omary26 Bruce Kangwa (C)05 Yakubu Mohammed15 Oscar Masai03 Daniel Amoah22 Salmin Hoza 28 Abdallah Masoud20 Paul Peter11...

SIMBA QUEENS WANAPETA TU MAJUU

0

KIKOSI cha timu ya Simba ya Wanawake, Simba Queens bado kinaendelea na ziara yake ya wiki mbili nchini Ujerumani.Ziara hiyo ambayo ni maalumu kwa ajili ya kujifunza bado inaendelea huku wachezaji wakitembela sehemu mbalimbali kujifunza.Miongoni mwa sehemu ambazo Simba Queens wamezitembelea ndani ya mji wa Hamburg, Ujerumani ni zile za kihistoria ili waweze kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu utamaduni wa...

TFF: MDHAMINI MAMBO SAFI, KINACHOSUBIRIWA NI KUSAINI TU MKATABA

0

WILFRED Kidao, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) amesema mdhamini wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu ujao wa 2019/20 ameshapatikana na kinachosubiriwa ni kusainiwa kwa mkataba.Kidao ametoa taarifa hiyo wakati akijibu maswali ya wadau mbalimbali wa soka kupitia ukurasa rasmi wa twitter wa shirikisho hilo, utaratibu alioamua kuufanya mara moja kila wiki.

UNITED KUMVIMBISHA MIFUKO DE GEA

0

DAVID de Gea anatazamiwa kusaini kandarasi mpya ya miaka mitano kuendelea kuitumikia klabu yake hiyo huku mshahara wake ukizidi kutuna.Mlinda mlango huyo hakuwa na hesabu za kuongeza mkataba mpya na iliripotiwa kwamba huenda angeibukia PSG.Kwa sasa United inaelezwa kuwa imekubali kumlipa mshahara wa pauni 375,000 sawa na sh.bilioni moja kwa wiki.Licha ya kuongezewa mshahara bado hajamfikia nyota namba moja...

PSG: ISHU YA NEYMAR KUTAKA KUSEPA ILIKUWA INAJULIKANA KITAMBO

0

THOMAS Tuchel, Kocha Mkuu wa Paris Saint Germain amethibitisha kwamba Neymar anataka kusepa ndani ya kikosi hicho.Tuchel amesema kuwa alifahamu ishu hiyo ya nyota huyo wa timu ya Taifa ya Brazil kutaka kusepa ndani ya kikosi hicho kabla ya michuano ya Copa America."Nilitambua wazo la nyota Neymar kutaka kusepa kabla ya michuano ya Copa America, ila linapokuja suala la...

KOCHA STARS: MDOGOMDOGO TUNATUSUA CHAN

0

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania, amesema kuwa atashirikiana na bosi wake mkubwa Ettiene Ndayiragije kuifanya Stars kufanya maajabu michuano ya Chan.Stars itamenyana na Kenya, Julai 28 uwanja wa Taifa ikiwa ni mchezo wa kufuzu michuano ya Chan inayoshirikisha wachezaji wa ndani.Matola amesema kuwa ana imani na wachezaji ambao wamewateua kwa kushirikiana na kocha mkuu...

EVERTON INAVUTIWA NA EVERTON WINGA ANAYEKAMILISHA DILI LAKE KUTUA ARSENAL

0

ARSENAL ipo kwenye mazungumzo ya mwisho na nyota wa Gremio raia wa Brazil, Everton Soares.Winga huyo mwenye miaka 23 ameongeza thamani yake baada ya kuonyesha maajabu kwenye michuano ya Copa America na amezivutia pia timu nyingi ikiwemo Everton.Hata hivyo kwa sasa yupo kwenye hatua za mwisho kutua Arsenal baada ya washika bunduki hao kukubaliana na Gremio kuhusu suala la...

AJIBU ALALA HOTELI YA ROONEY SAUZI

0

WAKATI Jeshi zima la Simba likiwa linaendelea kujifua kwenye kambi yake nchini Afrika Kusini, imebainika kuwa sehemu hiyo ambayo Simba wameweka makazi paliwahi kukaliwa na timu ya taifa ya England wakati wa michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2010.Simba wamekimbilia Afrika Kusini kwa ajili ya kuweka kambi ya kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Bara sambamba na michuano...