FRANK LAMPARD MAJANGA HUKO ULAYA

0

NDOTO za Frank Lampard kuipandisha timu yake ya Derby County kwenye Ligi Kuu England ziliyeyuka baada ya timu yake kulizwa na Aston Villa mabao 2-1 kwenye fainali ya mtoano wa Ligi Daraja la Kwanza England iliyochezwa kwenye Uwanja wa Wembley, juzi. Lampard, ambaye ni staa wa zamani wa Chelsea, alikuwa anapewa nafasi kubwa ya kuipeleka Derby County na kuzidi kupandisha...

ZAHERA: UBINGWA ULIKUWA WETU, HATUJASAIDIWA CHOCHOTE – VIDEO

0

Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera alivyozungumzia suala la Simba kuwa bingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2018/19.

VITA YAO LEO NI MASAA MACHACHE TU KUMENYANA. ARSENAL V CHELSEA

0

CHELSEA na Arsenal zinavaana leo Jumatano kwenye mechi ya fainali ya Ligi ya Europa itakayopigwa kwenye Uwanja wa Olimpiki mjini Baku katika nchi ya Azerbajain.Mchezo huu ni muhimu zaidi kwa Arsenal kwani ikitwaa taji hili itapata tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu  ujao.Hii ni mara ya kwanza kwa timu kutoka Jiji la London kukutana katika fainali ya...

KOCHA MKUU WA BARCELONA AKALIA KUTI KAVU

0

KUNA dalili za kibarua cha kocha Ernesto Valverde `kuota nyasi’ kufuatia kitendo cha Barcelona kuamua kuwasiliana na Roberto Martinez.Gazeti la Sport limedai kuwa viongozi wa Barcelona wamezungumza na Martinez, ambaye kwa sasa anainoa timu ya taifa yaUbelgiji.Viongozi wa Barcelona inasemekana wanataka kuachana na Valverde baada ya kuchukizwa na matokeo ya karibuni ya timu hiyo.Pamoja na kutwaa ubingwa wa La Liga, lakiniBarcelona ilitolewa...

SIMBA WAPOKELEWA LEO DAR NA MASHABIKI KIBAO, BODABODA ZATIA FORA

0

MASHABIKI wa Simba leo wameungana na wachezaji pamoja na benchi la ufundi kuipokea timu kutoka Morogoro ikiwa imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara.Mashabiki hao leo walikuwa wamejitokeza wakiwa na bodaboda zao na kuwafanya baaadhi ya wachezaji akiwemo mlinda mlango namba mbili, Deogratius Munid 'Dida' kuonesha uwezo wake wa kukanyaga mafuta.Mabingwa hao wa TPL msafara wao umeanzia Morogoro na walipofika...

KIKOSI CHA TIMU SAMATTA, NIFUATE PROJECT JUNI 2 UWANJA WA TAIFA

0

KIKOSI cha nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Mbwana Samatta kitakachoshuka uwanja wa Taifa Juni 2 kumenyana na kikosi cha mshambuliaji wa Coastal Union na mwana bongofleva, Ally Kiba 'KingKiba'. Juma Kaseja - KMCKelvin John- Serengeti BoysKelvin Yondan- YangaShomari Kapombe- SimbaHimid Mao-PetrojetErasto Nyoni-SimbaHaruna Moshi- YangaShaban Chilunda- TennerifeThomas Ulimwengu- JS SaouraMrisho Ngassa- YangaFarid Mussa - TennerifeAthuman Idd- Coastal...

MABOSI SIMBA WAACHANA NA OKWI

0

MABOSI wa Simba wameuweka pembeni mkataba wa Emmanuel Okwi kwa kile kilichotajwa kutaka dau kubwa la usajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.Mganda huyo hivi karibuni aliwaaga mashabiki wa timu hiyo kwa kupitia mtandao wa kijamii kwa kuweka picha yake na ujumbe wa kuaga ambao ulizua mjadala mkubwa.Kwa mujibu wa taarifa ambazo imezipata Championi Jumatatu, Okwi...

SAMATTA AUNGANA NA SERIKALI KUFANYA JAMBO LA KIHISTORIA

0

SERIKALI imesema itaendelea kumsaidia kwa hali na mali Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, anayechezea Klabu ya Genk ya Nchini Ubelgiji Mbwana Samatta ili kuhakikisha kuwa anafungua milango ya uwekezaji na kuiweka juu ramani ya Soka la Tanzania katika anga la kimataifa.Akizungumza jana Jumanne (Mei 28, 2019) Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam na Nahodha huyo...