Habari za michezo
DEAL DONE, CHASAMBI ATUA MSIMBAZI….. YANGA WAPIGWA NA KITU KIZITO
Staff Desk
December 5, 2023
4:18 am
Taarifa njema kwa mashabiki wa Simba SC ni kusainiwa kwa winga Ladaki Chasambi kwa mkataba wa miaka miwili.
Simba imewapiku wapinzani wao Yanga SC ambao imeripotiwa kuwa nao walikuwa wanamwinda winga huyo anayekipiga katika klabu ya Mtibwa Sugar.
Chasambi amepandisha msimu huu kwenye timu ya kwanza akitokea timu ya vijana chini ya miaka 20.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.