IRENE UWOYA, STEVE NYERERE WAITWA BASATA
BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) limewataka wasanii wa filamu Bongo, Irene Uwoya na Steve Nyerere, kufika katika ofisi za baraza hilo kesho, Julai 17, 2019, kufuatia kitendo chao cha kuwarushia fedha waandishi wa habari wakati wa kikao jana Julai 15.Hata hivyo, Uwoya amewaomba radhi waandishi kufuatia kitendo hicho kilichosababisha baadhi ya waandishi kuharibu baadhi ya vifaa vyao kutokana...
SABA WA SIMBA KIKOSI CHA KWANZA KUTOLEWA KWA MKOPO KWENDA TIMU HIZI
UONGOZI wa Simba umepanga kuwatoa kwa mkopo wachezaji wake Saba ambao wamekosa namba ndani ya kikosi cha kwanza.Ofisa Mtendaji wa Simba, Cresnticentius Magori amesema kuwa tayari wamefika makubaliano mazuri na wachezaji wao hivyo kwa sasa wanakamilisha hatua za mwisho.Wachezaji ambao wanatolewa kwa mkopo ni pamoja na Mohamed Ibrahim (Mo), ambaye anaweza kujiunga na Namungo FC ya Lindi, Marcel Kaheza...
BEKI MUSTAFI SHKODRAN AGOMA KUSEPA ARSENAL
SHKODRAN Mustafi, beki wa Arsenal amesema kuwa hana mpango wa kusepa ndani ya kikosi hicho msimu ujao.Mustafi amesema kuwa atabaki ndani ya kikosi hicho na kupambania namba ndani ya kikosi cha kwanza.Licha ya kuwa ni miongoni mwa wachezaji wanaochukiwa ndani ya kikosi cha Arsenal kutokana na makosa yake mengi uwanjani.Arsenal inakabiliwa na tatizo la beki kwani msimu ulipita iliruhusu...
SIMBA KUCHEZA MECHI TATU ZA KIRAFIKI AFRIKA KUSINI
SIMBA wameamua kujiweka sawa msimu huu ambapo baada ya kukwea pipa na kuweka kambi Afrika Kusini tayari wametangaza kucheza mechi tatu za kirafiki ili kujenga kikosi upya.Ofisa Mtedaji wa Simba, Crenscetius Magori amesema kuwa timu imepanga kucheza mechi tatu za kirafiki kabla ya kurejea nchini Tanzania."Timu ipo kambini na inaendelea na mazoezi lakini kwenye program yetu tunatarajia kucheza michezo...
AZAM FC WAFICHUA SIRI KUWANG’OA TP MAZEMBE KAGAME
ETTIENE Ndayiragije, Kocha Mkuu wa Azam FC, amesema kuwa siri kubwa ya timu hiyo kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kagame ni ukubwa wa timu kwenye michuano hiyo.Azam FC ilishinda kwa mabao 2-1 mchezo wa hatua ya robo fainali na mabao ya Azam FC yalipachikwa na Iddy Naldo pamoja na Obrey Chirwa.Akizungumza na Saleh Jembe, Ndayiragije amesema...
WINGA MPYA YANGA AAHIDI KUIPOKA SIMBA KOMBE LA LIGI KUU
Winga mpya matata wa Yanga Mnyarwanda, Patrick ‘Papy’ Sibomana amefurahia mapokezi aliyoyapata Jangwani na kuahidi kuifanyia makubwa timu hiyo ikiwemo kuipa mataji ya ubingwa.Kauli hiyo aliitoa Mnyarwanda hivi karibuni akiwa kambini mkoani Morogoro wakijiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara na Ligi ya Mabingwa Afrika, mwaka huu.Sibomana ni kati ya wachezaji 13 wapya waliosajiliwa na Yanga kwa kwa...
NYOTA MPYA SIMBA ATAJA KILICHOIPA UBINGWA MSIMU ULIOPITA
BEKI wa kikosi cha Simba Gadiel Michael amesema kuwa kikosi cha Simba kipo imara tangu msimu uliopita jambo lililoipa ubingwa.Gadiel kwa sasa yupo na Simba Afrika Kusini baada ya kusaini kandarasi ya miaka miwili akitokea Yanga."Simba ni timu bora na imara tangu msimu uliopita ndio maana iliweza kutwaa ubingwa, nina imani msimu ujao tutashirikiana vema kufanya vizuri na kufikia...
AZAM FC V TP MAZEMBE JINO KWA JINO LEO
IDDY Naldo mshambuliaji wa Azam FC dk 28 anairejesha mchezoni timu yake baada ya kusawazisha bao 1-1 bao lililofungwa na Ipammy Giovany dk ya 21.Kwa sasa ni kipindi cha pili ambapo Azam FC wakiwa ni mabingwa watetezi wa kombe hili ndio wawakilishi pekee wa Tanzania baada ya KMC kuondolewa kwenye hatua za awali wakiwa na pointi nne.
DOZI YA SIMBA AFRIKA KUSINI NI MOJA MARA MBILI
UONGOZI wa Simba umesema kuwa dhamira kubwa ya kuweka kambi nchini Afrika Kusini ni kujiweka sawa kwa ajili ya msimu mpya wa mwaka 2019-20 unaotarajiwa kuanza Agosti 23.Wakiwa Afrika Kusini wanafanya mazoezi mara mbili kwa siku asubuhi na jioni kujiweka sawa wakiwa maeneo ya Rustenburg, Afrika Kusini.Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Crescentius Magori amesema kuwa mipango ipo sawa na kambi...
HILI NDILO JESHI LA AZAM FC LINALOTOANA JASHO NA TP MAZEMBE LEO KAGAME
Kikosi rasmi cha Azam FC, kinachomenyana na TP Mazembe kwenye mchezo wa robo fainali ya Kombe la Kagame, Uwanja wa Nyamirambo leo Jumanne 16 Razak Abalora02 Abdul Omary26 Bruce Kangwa (C)15 Oscar Masai03 Daniel Amoah05 Yakubu Mohammed22 Salmin Hoza28 Masoud Abdallah13 Idd Seleman11 Donald Ngoma10 Obrey Chirwa