HAYA NDIYO MAKOMBE ANAYOYATAKA NYOTA MPYA WA BARCELONA ANTONIE GRIEZMANN

0

ANTONIE Griezmann, nyota mpya wa Barcelona ambaye amesaini kandarasi ya miaka mitano amesema kuwa hesabu zake kubwa ndani ya kikosi hicho ni kubeba makombe yakutosha.Griezmann amejiunga na Barcelona akitokea Atletico Madrid kwa dau la pauni milioni 108."Nafikiria kuwa nimekuja hapa kupata upinzani mpya na nitafanya mambo makubwa sana kuhakikisha ninakuwa kwenye kiwango kikubwa."La Liga, Copa del Rey na Ligi...

KAZI IMEANZA YANGA, YAPIGA MTU 10-1, BALINYA, SIBOMANA, NGASSA WALIAMSHA

0

MOTO wa Yanga umeanza leo ambapo kwenye mchezo wa kirafiki wameshinda mabao 10-1 dhidi ya timu ya Tanzanite FC mchezo uliochezwa uwanja wa Highlands Park, Morogoro.Yanga imeweka kambi mkoani Morogoro na inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na AS Vita Agosti 4 uwanja wa Taifa kwenye kilele cha siku ya wananchi.Mabao ya Yanga yamefungwa na Mrisho Ngassa alitupia mabao 3,...

AJIBU ATAJA SABABU YA KUICHUNIA MAZIMA MAZEMBE

0

KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajibu amesema kuwa kilichomkibiza TP Mazembe ni maslahi kwani dau alilowekewa na timu hiyo lilikuwa la kishkaji.Mazembe walikuwa wakiisaka saini ya nyota huyo ambaye kwa sasa ni mali ya Simba akiwa amesaini kandarasi ya miaka miwili.Akizungumza na Saleh Jembe, Ajibu amesema kuwa mchezaji siku zote ni sawa na mfanyabiashara anachoangalia ni maslahi kwanza mambo...

ABDI BANDA WA BAROKA FC AONGEZA FURAHA KWA SIMBA

0

BEKI wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anakipiga timu ya FC Baroka ya Afrika Kusini leo amekutana na wachezaji wa Simba pamoja na viongozi ambao wametua timu Afrika Kusini kuweka kambi.Beki huyo ameongeza furaha kwa wachezaji na viongozi wa Simba baada ya kuonana na kupiga picha ya kumbukumbuSimba imeamua kuweka kambi ya muda wa wiki mbili nchini Afrika...

ATLETICO YAPINGA BARCA KUMNYAKUA GRIEZMANN

0

ATLETICO Madrid imepinga kitendo cha Barcelona kumsajili Antoine Griezmann kinyume cha sheria za usajili.Barcelona ilidai jana imemnyakua Griezmann baada ya kulipa pauni milioni 108 (Sh. bilioni 310) kama ilivyokuwa inaelekezwa kwenye mkataba baina ya Griezmann na Atletico.Kifungu hicho kinatoa ruhusa kuanzia Julai Mosi kwa timu yoyote yenye pauni milioni 108 kutoa fedha hizo na kumchukua mchezaji huyo. Kutokana na...

DUH SIMBA WANA SIFA, WAPANIA KULETA USHINDANI

0

UONGOZI wa Simba umesema kuwa malengo makubwa ni kuona timu zote mbili zinakuwa na ushindani msimu ujao wa 2019-20.Ofisa Mtendaji wa Simba, Crescentius Magori amesema kuwa mipango iliyopo ni kwa timu zote mbili kuanzia ile ya wanawake pamoja na ya wanaume kuleta ushindani."Ni malengo yetu kuona timu zote zinafanikiwa na kuleta ushindani kwenye michuano yote ambayo tutashiriki msimu ujao,"...

FAINALI YA KUNDI LA TANZANIA AFCON ITANOGA KINOMA

0

KOCHA Mkuu wa Senegal, Aliou Cisse amesema kuwa mchezo wa fainali hautakuwa mwepesi kutokana na timu zote kuwa vizuri.Senegal imetinga hatua ya fainali kwenye michuano ya Afcon inayoendelea nchini Misri kwa ushindi wa bao 1-0 la kujifunga kupitia kwa Dylan Bronn dakika ya 100 baada ya dakika 90 kukamilika bila kufungana."Utakuwa mchezo mgumu hasa ukizingatia ni timu ambayo tulikuwa...

TAMBWE AMPA MAAGIZO ZAHERA

0

Amis Tambwe amepaza sauti kutoka Burundi hadi Tanzania akimtaka Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera amrudishie kitambaa cha unahodha beki Kelvin Yondani.Yondani alipewa kitambaa cha unahodha kwenye mechi za maandalizi za msimu uliopita baada ya beki Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kustaafu lakini baadaye Yondani alivuliwa kwa madai ya utovu wa nidhamu.“Tusubiri tuone kama Zahera atakubali ushauri kuhusu hili la kumrudishia Yondani...

KAGERE AKIMBILIA GYM

0

Wakati  Yanga wakianza mazoezi ya pamoja Jumatatu iliyopita kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara, mshambuliaji wa Simba Mnyarwanda, Meddie Kagere naye ameanza kufanya programu binafsi ya gym pekee.Yanga imeingia kambini Jumatatu ikiwa na wachezaji wake wa zamani na wapya ambao wamesajiliwa kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuanza Agosti 23,...

KOCHA MPYA YANGA AANZA KAZI NA KINDOKI

0

KOCHA wa makipa ndani ya Yanga, Peter Manyika amesema kuwa ameanza kazi na mlinda mlango Klaus Kindoki ambaye msimu uliopita mashabiki hawakumkubali kutokana na kufanya makosa mengi ya kiufundi.Moja ya mechi ambayo Kindoki alifanya makosa ya kiufundi ni kwenye mchezo wake wa kwanza dhidi ya Stand United ambapo aliruhusu kufungwa mabao 3 na Alex Kitenge licha ya Yanga kushinda...