YANGA KUJICHIMBIA MOROGORO MAANDALIZI YA LIGI

0

MABINGWA wa kihistoria wa Tanzania Bara, Yanga leo wametimkia Morogoro kwa ajili ya kuweka kambi. Msimu wa mwaka 2019-20 unatarajiwa kuanza Agosti 23 na mchezo wa ufunguzi utakuwa kati ya Simba na JKT Tanzania uwanja wa Taifa.Akizungumza na Saleh Jembe, Kaimu Katibu wa Yanga, Dismas Ten amesema kuwa wamechagua Morogoro kutokana na utulivu."Timu leo imeelekea Mrogoro kwa ajili ya...

JPM AWALILIA WAFANYAKAZI 5 WA AZAM TV WALIOFARIKI WAKIELEKEA CHATO

0

RAIS  John Magufuli amemtumia salamu za pole Mwenyekiti wa Makampuni ya Bakhresa, Said Salim Bakhresa kufuatia vifo vya wafanyakazi watano wa Azam Media vilivyotokea eneo la Kizonzo katikati ya Igunga,  Tabora na Sheuli , mkoani Singida baada ya gari lao aina ya Coaster kugongana uso kwa uso na lori.Coaster hiyo ilikuwa ikielekea kwenye uzinduzi wa Hifadhi ya Burigi-Chato.

KAHATA AANZA NA MIKWARA SIMBA

0

Baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili, kiungo mchezeshaji wa Simba raia wa Kenya, Francis Kahata, ametamba kuwa anakuja Msimbazi kucheza na siyo kukaa benchi.Kauli hiyo huenda ikawa tishio kwa wachezaji wanaocheza naye nafasi moja (namba nane) ambao msimu uliopita walikuwa wakibadilishana kucheza Mzambia, Clatous Chama, Hassani Dilunga, Mzamiru Yassin na Jonas Mkude kabla ya Msudan wa Al Hilal,...

JULIO ATOA TAMKO JUU YA AJIBU KUREJEA SIMBA

0
Habari za Michezo

BAADA ya Ibrahimu Ajibu kusaini Simba, aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Jamhuri kihwelo ‘Julio’, amefunguka kuwa hakuna atakayemuweka benchi mchezaji huyo ndani ya Simba.Julio kwa sasa amepumzika kufundisha soka baada ya kuachana na timu ya Dodoma FC iliyokuwa ikishiriki daraja la kwanza ambayo kwake ilikuwa ya mwisho kuifundisha.Julio alisema kuwa Ajibu amefanya uamuzi ambao kwake umekuwa ni sahihi, hivyo...

MAJEMBE MAPYA YANGA YAFICHWA HOTELI YA KISHUA

0

MASTAA wa Yanga kutoka nje ya nchi tayari wameripoti katika timu hiyo na kufikia hoteli ya kishua ya The Atriums iliyopo Africasana jijini Dar es Salaam.Wachezaji hao walioripoti hadi kufikia jana Jumapili ni Issa Bigirimana, Patrick Sibomana, Maybin Kalengo na Mustapha Selemani.Nyota hao wameripoti haraka kwenye timu hiyo kwa ajili ya kuanza maandalizi ya msimu mpya wa ligi ambayo...

KINDA WA FULHAM AVIBWAGA VIGOGO MADRID, PSG AITAKA LIVERPOOL

0

Liverpool wako katika hatua za mwisho kumnasa kinda Harvey Elliot kutoka Fulham.Kinda huyo wa miaka 16 amekuwa kivutio kwa baadhi ya timu.Baadhi ya timu zilizoonyesha nia ya kumnasa ni pamoja na vigogo Kama Real Madrid, Paris Saint-Germain na RB Leipzig. Haha hivyo, imeelezwa, Elliott yeye hakutaka kwenda katika klabu hizo badala yake kujiunga na Liverpool akiwa na ham kubwa kufanya...

TANZIA: SABA WAFARIKI WAKIENDA CHATO, WATANO NI KUTOKA AZAM MEDIA

0

WATU saba wakiwemo wafanyakazi watano wa kampuni ya Azam Media wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori, uongozi wa Azam Media umethibitisha.Ajali hiyo imetokea leo eneo la Shelui mkoani Singida wakati wakieleleka wilayani Chato mkoani  Geita katika uzinduzi wa Hifadhi ya Taifa ya Chato-Burigi. Taarifa kutoka katika kampuni hiyo zinaeleza kuwa wafanyakazi hao walikuwa...

LIGI KUU BARA KUANZA KUTIMUA VUMBI AGOSTI, ISHU YA VIPORO YAPATA DAWA

0

MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania, Boniface Wambura amesema kuwa Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuanza mwezi Agosti 23 mwaka huu na hakutakuwa na viporo kama msimu uliopita. Wambura amesema kuwa ratiba ya ligi msimu huu imezingatia kalenda ya michuano ya kimataifa hivyo hakutakuwa na viporo."Safari hii hatutakubali kuona timu inaweka kiporo na itambuwe kuwa Bodi ya Ligi...

NYOTA WA SIMBA KUTIMKIA SINGIDA UNITED

0

NYOTA wa Simba, Marcel Kaheza ambaye mkataba wake na AFC Leopards ya Kenya alikokuwa kwa mkopo umemalizika kwa sasa ameingia rada za Singida United ambao wanasuka kikosi upya.Hesabu za Singida United zilikuwa kuipata saini ya mshambuliaji Rashid Juma kutokana na ugumu wa kumpata nyota huyo wameshusha majeshi yao kwa Kaheza.Ofisa Habari wa Singida United, Cales Katemana amesema kuwa mpango...

EXCLUSIVE: PAMOJA NA MATUSI YA AMUNIKE, SAMATTA ALIOKOA JAHAZI YONDANI KURUDI UWANJANI, UGOMVI WAKE NA BANDA HUU HAPA-2

0

Na Saleh Ally aliyekuwa CairoMAKALA haya yalianza jana wakati nilipoelezea hali iliyojitokeza katika kambi ya Taifa Stars jijini Cairo, Misri timu ikiwa huko kushiriki michuano ya Afcon.Hakuwa na uelewano mzuri kati ya wachezaji pamoja na Kocha Emmanuel Amunike na hasa baada ya kocha huyo raia wa Nigeria kuendelea kuwatukana wachezaji akiwaeleza maneno makali akiwafananisha na wanawake.Nilianza kueleza namna Amunike...