ZAHERA AGOMA KUREJEA BONGO, ATIMKIA ULAYA

0

MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga ambaye ni kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Congo amesema kuwa harudi Bongo mpaka akaione familia.Congo imetolewa na Madagascar kwenye michuano ya Afcon hatua ya 16 bora baada ya kupoteza mchezo kwa kufungwa kwa penalti 4-2 baada ya dakika 90 kukamilika kwa sare ya mabao 2-2."Tumetolewa kwa penalti hiyo si mbaya sasa...

MENEJA LAMPARD AANZA NA KINDA ODOI NDANI YA CHELSEA

0

KINDA Callum Hudson-Odoi inaaminika kwamba yupo tayari kusaini kandarasi mpya ndani ya klabu ya Chelsea.Hudson-Odoi inaelezwa kuwa amechukua hatua hiyo baada kuhakikishiwa muda wa kucheza na kocha mpya wa Chelsea Frank Lampard.Kinda huyo ana miaka 18 kwa sasa yupo tayari kusaini kandarasi mpya ndani ya kikosi hicho na kusitisha mpango wake wa kutimkia Bayern Munich.

HAPA NDIPO TATIZO LA AZAM FC LILIPOJIFICHA

0

UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa kazi kubwa ambayo wataifanya kwenye michuano ya Kagame ni kutetea taji lao.Akizungumza na Saleh Jembe, Kocha Mkuu wa Azam FC, Ettiene Ndayiragije amesema kuwa ana imani ya kufanya makubwa kwenye michuano hiyo licha ya  tatizo la spidi kwa wachezaji wake kuwa chini."Tutatumia nguvu nyingi kupata ushindi kwani kazi yetu ni kutetea ubingwa, bado...

GAZETI LA CHAMPIONI KATIKA UKURASA WA MBELE LEO JUMATATU, VIKOSI VITATU SIMBA VYATAJWA

0

Muonekano wa gazeti la Championi katika ukurasa wa mbele leo Jumatatu

YANGA KUMEKUCHA, KAMBI YA KISHUA YAANZIA DAR

0

Yanga jana Jumapili wameanza kambi ya msimu ujao ambapo tangu Ijumaa iliyopita mastaa wapya wa klabu hiyo wamekuwa wakiingia mmoja mmoja.Yanga wanaanza kambi mapema kwa ajili ya kuviunganisha vifaa vyote walivyosajili ambapo watakusanyana Jijini Dar es Salaam kisha kambi rasmi ya aina yake itakuwa mkoani Morogoro chini ya kocha msaidizi Noel Mwandila raia wa Zambia.Kocha mkuu Mwinyi Zahera yeye...

KAMBI YA SIMBA YATAJWA, MAJEMBE MAPYA YAORODHESHWA

0

Kama Spoti Xtra lilivyokujulisha Alhamisi iliyopita, sasa ni rasmi kwamba Simba itaweka kambi Afrika Kusini kuanzia Julai 15 na mastaa wote lazima watue Dar es Salaam wiki ijayo kushughulikia visa zao.Simba itaweka kambi yake nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ kutokana na hali ya hewa ya baridi tofauti na ile ya awali ambayo walikuwa wamepanga kuweka Ulaya.Mtendaji Mkuu wa Simba, Cresentius...

BRAZIL YATWAA COPA AMERICA BILA NEYMAR, YAITANDIKA PERU 3-1

0

Brazil imefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Copa America kwa ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Peru.Wafungaji ni Everton Soares 15', Gabriel Jesus 45+3' & 70' na Ricjarlison 90' (P). Bao pekee la Peru limefungwa na Paolo Guerrero mnamo dakika ya 44' (P).Brazil wamekipiga na peru bila uwepo wa nyota wao aliyevuliwa ukapteini hivi karibuni Neymar Jr ambaye ni...

KAKOLANYA: SIMBA WENYEWE WATANIPENDA

0

BENO Kakolanya mlinda mlango mpya wa Simba ambaye amesaini kandarasi ya miaka miwili amesema kwamba hana mashaka na uwezo wake hivyo mashabiki watampenda.Kakolanya amesema kuwa katika kazi kuna ulazima wa kupata changamoto mpya sina hofu na ushindani wa namba ndani ya Simba."Sina hofu na uwezo wangu na hata ndani ya Simba kwa kuwa najiamini na ninaweza kuleta ushindani, kuhusu...

AZAM FC WAANZA KWA USHINDI KAGAME

0

MABINGWA watetezi wa kombe la Kagame leo wameanza vema kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mukura FC.Bao pekee la ushindi lilifungwa na mshambuliaji Iddy Suleiman 'Naldo' dakika ya 77 lilidumu mpaka mwisho wa mchezo.TP Mazembe ambao nao wanashiriki michuano hiyo wameanza kwa kuambulia kichapo cha bao dhidi ya Rayon Sports.Bao la Rayon Sport lilifungwa dakika ya 4 na...

AIYEE AANZA NA MGUU WA KULIA KMC

0

SALIM Aiyee mshambuliaji mpya wa kikosi cha KMC ameanza kwa kucheka na nyavu baada ya kufunga bao kwenye mchezo wake wa kwanza wa michuano ya kombe la Kagame.Leo KMC wamelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Atlabara ya Sudan Kusini.Aiyee alianza kupachika bao hilo dakika ya 46 kabla ya wapinzani wao Atlabara kusawazisha bao dakika ya 67.