JUUKO AVURUGA HALI YA HEWA KWA VIONGOZI SIMBA
Jumamosi iliyopita inadaiwa kuwa viongozi wa Simba hawakuamini kile walichokiona kutoka kwa beki wao wa kati Mganda, Juuko Murshid alipokuwa akiitumikia timu yake ya taifa ya Uganda dhidi ya DR Congo katika michuano ya AFCON inayoendelea nchini Misri.Uwezo wa juu aliounyesha Juuko katika mchezo huo na kuiwezesha Uganda kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 ndiyo hasa uliyowavuruga viongozi hao...
HII KALI!! KINDOKI ATAKA MILIONI 45 YANGA, SABABU ATAJA
Kumekuwa na taarifa ambazo zinaeleza kuwa klabu ya Yanga huenda ikaachana na kipa wako Mkongomani Klaus Kindoki.Taarifa hizi zimesababisha mwenyewe kuibuka na kudai kiasi cha shilingi milioni 45 za kitanzania ili aweze kuondoka.Imeelezwa kuwa Kindoki anataka fedha hizo ili avunje mkataba na kama asipopewa hawezi kuondoka kwa namna yoyote ile.Licha ya tetesi za kuachwa na Yanga, awali ilielezwa kuwa...
AZAM YAITANGAZIA VITA SIMBA, WACHEZAJI WATAJWA
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin ‘Popat’, amesema kuwa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara wataivua ubingwa Simba.Azam FC ambayo msimu uliopita ilishika nafasi ya tatu huku ikitwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho kwa kuifunga Lipuli FC, imepania kufanya kweli msimu ujao kwa kulitwaa taji la Ligi Kuu Bara linaloshikiliwa na Simba kwa msimu wa pili mfululizo...
MABOSI YANGA WATOA TAMKO LINGINE ZITO KWA AJIBU, SIMBA YATAJWA
Licha ya Yanga kukata tamaa juu ya kumbakiza kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu, mabosi wa timu hiyo wamempa siku saba kwa ajili ya kuamua hatma yake kabla ya kufungwa usajili wa Shirikisho la Soka la Afrika (Caf).Hivi karibuni Yanga waliweka hadharani kwamba licha ya kufanya jitihada za kuzungumza na kiungo huyo lakini mazungumzo yao kushindwa kufikia muafaka.Ajibu amemaliza mkataba wake...
Alichokisema Amunike leo.
Tumekutafsria hapa kwa mujibu wa video hiyo hapo juu.Tunacheza dhidi ya Kenya, ni nafasi yetu nzuri. Timu zote mbili zinatokea Afrika Mashariki, na Kenya ni jirani yetu, tupende au tusipende wote tunaongea lugha moja, Kiswahili. Hivyo hakuna kitu cha kuficha kati yetu uwanjani.Lakini muhimu ni kuona jinsi tunavyoweza kuwaweka pamoja wachezaji wachezaji wetu.Tuliona katika mechi dhidi ya...
YANGA YATOA TAMKO JUU YA MBRAZIL WA SIMBA
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema kuwa auhofii usajili unaoendelea kufanywa na watani wao wa jadi, Simba ukiwemo wa straika Mbrazili, Wilker Henrique da Silva.Wiki iliyopita Simba ilimtangaza mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 23 ambaye alisaini mkataba wa miaka miwili kuichezea timu hiyo.Yanga upande wake imefanikisha usajili wa wachezaji kumi kati ya hao sita ni wa kimataifa na...
JPM: MAKONDA UMESEMA UKIENDA MISRI TUTASHINDA? HAYA NENDA – VIDEO
RAIS John Magufuli amemruhusu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kwenda nchini Misri kwa ajili ya kuipa hamasa timu ya taifa Tanzania (Taifa Stas) ili iibuke na ushindi dhidi ya Kenya baada ya kuanza vibaya kwa kufungwa mabao 2-0 na Senegal juzi Jumamosi.Magufuli ametoa ruhusa hiyo leo Jumanne, Juni 25, 2019, wakati akizindua Ghala na Mitambo...
RASMI JINA LA KOTEI LATUA YANGA
SIMBA na Yanga zote zipo kwenye mikakati mipya ya kujiweka sawa kwa ajili ya msimu ujao, kila upande unaonekana kuwa na maandalizi makubwa kwa kuwa wote watashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika.Wakati maandalizi hayo yakiendelea, habari za ndani ya klabu zinadai kuwa kiungo mkabaji wa Simba Mghana, James Kotei hana nafasi ya kuendelea kuichezea timu hiyo, hali ambayo imesababisha jina...
ZAHERA ABADILI GIA YA USAJILI YANGA AKIWA MISRI
VIONGOZI wa Klabu ya Yanga chini ya mwenyekiti wake, Dk Mshindo Msolla, wikiendi hii waliitumia kwa ajili ya kuzungumza na wachezaji waliopo ndani ya kikosi hicho ambao mikataba yao inamalizika.Yanga hadi sasa tayari wameshatambulisha nyota 10 wapya ambao wamewasajili ndani ya kikosi hicho kwa msimu ujao ambao ni pendekezo la kocha wao mkuu, Mwinyi Zahera.Kwa sasa Yanga wanazungumza na...