Jezi za taifa stars kuzinduliwa leo

0

Muda mfupi ujao Shirikisho la Soka Tanzania, TFF, litazindua jezi mpya kwaajili yat timu ya Taifa Tanzania katika michuano ya Mataifa ya Afrika huko Misri.Tutawaletea hapa pia picha zake….The post Jezi za taifa stars kuzinduliwa leo appeared first on Kandanda.

WACHEZAJI SABA WA SIMBA WANAOPEWA NAFASI YA KUSEPA MSIMU UJAO

0

IMEELEZWA kuwa kwa sasa kikosi cha Simba kinafanya usajili wa kimyakimya na mpango wake mkubwa ni kufanya maboresho kwenye kikosi chao kwenye michuano ya kimataifa.Mpaka sasa ni wachezaji wawili tu ambao wameongezewa mkataba kwenye kikosi hicho ambao ni John Bocco na Aishi Manula huku wengine mipango yao ikiwa ni ya siri.Ripoti ya Kocha Mkuu, Patrick Aussems kwa sasa ndiyo...

WACHEZAJI 16 WALIOPIGWA PANGA STARS

0

TIMU ya Taifa ya Tanzania kwa sasa ipo nchini Misri ambapo imeweka kambi kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya Afcon inayotarajiwa kuanza Juni 21.Kikosi kilikuwa na jumla ya wachezaji 39 awali ambapo mchujo wa kwanza ulichuja wachezaji saba na mchuju wa pili ulichuja wachezaji 9 na kufanya wachujwe jumla ya wachezaji 16 na kufanya wabaki wachezaji 23.Mchujo Wachezaji...

NYOTA WA MWADUI ANAYEWINDWA NA YANGA KUTIMKIA ULAYA

0

NYOTA wa kikosi cha Mwadui FC, Salum Aiyee mambo yamezidi kumyokea kwake ambapo imeelezwa kuwa kwa sasa amewekwa kwenye mawindo na timu kama tano za Ulaya ambazo zinahitaji saini yake.Kwa sasa Aiyee amemaliza mkataba na Mwadui anaskilizia ofa ya Yanga ambayo ipo mkononi mwake baada ya kuwaambia kwamba wampe mkwanja wa kutosha.Habari kutoka kwa mtu wake wa karibu zimeeleza...

Adi,Banda na kichuya miongoni wa walioachwa

0

Kikosi cha timu ya Taifa kimeweka kambi yake ndhini Misri, katika wachezaji 32 waliosafiri na timu iltakiwa wabaki wachezaji 23 tu kwaajili ya mipango ya AFCON.Kandanda imepata orodha ya wachezaji wanaobaki hawa hapa:Magolikipa1-Aishi Manula (Simba SC)2-Metacha Mnata (Mbao)3-Aron Kalambo (Tz Prisons)4-Seleman Salula (Malindi)5-Claryo Boniface (U20)Mabeki6-Hassan Kessy (Nkana, Zambia)7-Vicent Philipo (Mbao)8-Gadiel Michael (Yanga)9-Mohamed Hussein (Simba)10-Ally Sonso (Lipuli)11-Erasto Nyoni...

KUBWA KULIKO KUTIKISA JUMAMOSI DAR, RATIBA KAMILI HII HAPA – VIDEO

0

Ratiba kamili ya Yanga Kubwa Kuliko Jumamosi hii, hii hapa

WIMBO MPYA WA YANGA HUU HAPA – VIDEO

0

Usikilize wimbo mpya wa Yanga hapa

ALIYETAJWA KUSAJILIWA YANGA DILI LAYEYUKA, AMALIZANA NA WASOUTH

0

Mshambuliaji wa klabu ya Zesco United ya Zambia, Lazarous Kambole amekubaliana maslahi binafsi na klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika kusini ambayo atajiunga nayo kwa ajili ya msimu ujao, imeelezwa.Taarifa imesema Kaizer Chiefs italazimika kulipa dau la dola 200,000 ambazo ni zaidi ya milioni 459 za kitanzania kwa klabu ya Zesco kama ada ya usajili kwa mshambuliaji huyo. Ikumbweke Kambole...

AJIBU APIGWA CHINI YANGA, ZAHERA AMEAMUA

0

Imeelezwa kuwa Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera amewashangaa viongozi ya klabu hiyo kwa kuanza majadiliano ya kumpa mkataba mpya nahodha wa timu hiyo Ibrahim Ajibu.Taarifa imeeleza kuwa Zahera amesema tangu Ajibu akatae kujiunga na TP Mazembe yeye alishamuondoa kwenye mipango yake ya msimu ujao.Zahera ambaye kwa sasa yuko Hispania katika majukumu ya timu ya Taifa ya DR Congo...

Wachezaji waliokamilisha usajili Ligi Kuu 2019/20

0

Tunaendelea kujaza wachezaji ambao wanajiunga/kuongeza mikataba katika vilabu vya Ligi Kuu kwa msimu wa Ligi Kuu 2019/20. Hii ni kwa mujibu wa taarifa tunazozipata kupitia klabu husika tu.#MchezajiTimuNafasi1Aishi Manula-Golikipa2Bigirimana BlaiseNamungo FCKiungo3John R. Bocco-Mshambuliaji4Mwadini Ali-GolikipaWote*Angalizo: Tutajaza tena majina rasmi baada ya bodi ya ligi kutoa majina ya mwisho, endelea kupitia hapaThe post Wachezaji waliokamilisha usajili Ligi Kuu 2019/20...