NI SIMANZI!! TARMBA AFIWA NA MTOTO WAKE MWINGINE USIKU HUU

0

Ndugu zangu, mtoto wangu mwingine Aliasgher Tarimba Abbas, amefariki muda huu.Maziko kesho saa 12.30 katika Msikiti wa Shia Ithnaasheri mjiniKaribuni tumsindikize mtoto wetu.Na Tarimba...

YANGA YANASA KIFAA KIPYA KUTOKA ZANZIBAR, AZAM WAINGILIA

0

Imeelezwa kuwa klabu za Azam na Yanga  zimeanza kuwania saini ya mchezaji bora wa ligi kuu Zanzibar msimu 2018/19, Abdulswamad Kassim kutoka klabu ya...

MWANAFUNZI SEKONDARI AFANYA MTIHANI WA TAIFA AKIWA LEBA

0

ALMAZ  DERESE  (21), mwanafunzi wa Shule ya Sekondari nchini Ethiopia amefanya mitihani (Kiingereza, Amharic na Hisabati) akiwa hospitali dakika 30 baada ya kujifungua, Juni...

HAKIKA YANGA YA MSIMU UJAO NI MOTO, ZAHERA AFUATA KIBOKO YA MANULA MISRI

0

KOCHA Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera amesitisha usajili wa wachezaji wa kigeni na nafasi zilizobaki atachukua wa fainali za Afrika nchini Misri.Yanga hadi...

KOTEI BYEBYE SIMBA, KAIZER CHIEFS WATOA TAMKO JUU YAKE

0

Imeripotiwa kuwa miamba wa Afrika Kusini Kaizer Chiefs wapo kwenye mipango ya kumsajili kiungo wa Simba James Kotei ambaye ni raia wa Ghana.Kwa mujibu...

OKWI, NIYONZIMA CHUPUCHUPU SIMBA

0

SIMBA imebadili gia angani baada ya kuachana na uamuzi wao wa kuwapiga chini Haruna Niyonzima, Emanuel Okwi na James Kotei.Habari za ndani zinasema kwamba...

Etienne kuiongoza Azam Fc msimu ujao

0

Kama tulivyoripoti hapo awali kuhusu safari ya Etienne Ndayiragije kutoka KMC kwenda Azam Fc, hatimaye leo imetimia.Kocha huyo aliyewahi kufanya vizuri na...

MAMA ASITISHA MKATABA WA AJIBU SIMBA, AMBAKISHA YANGA FC

0

UONGOZI wa Yanga upo kwenye taratibu za mwisho za kumbakisha kiungo wake mshambuliaji, Ibrahim Ajibu huku mama yake akihusishwa.Ajibu anaelezwa kumalizana na Simba akisaini...

MOURINHO ANUKIA KUREJEA CHELSEA

0

IMEELEZWA kuwa vuguvugu la kumtafuta meneja ndani ya kikosi cha Chelsea kwa sasa linamhusisha Jose Mourinho ambaye amewahi kukinoa kikosi hicho kwa mafanikio kabla...