HUKO SIMBA… UGALI MOTO MBOGA MOTO , LUIS NI RASMI AOMBA SIKU SITA UTURUKI, CHAMA AITWA MEZANI, SAKHO KUSEPA

1

Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo

KAZI IMEANZA GAMONDI AWAHENYESHA MASTAA YANGA, HUYU NAMBA 6 MBONA ATAWALIZA WENGI

0

Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo

ACHANA NA STORI ZA VIJIWENI…UKWELI KUHUSU MAYELE NA HATMA YAKE YANGA HUU HAPA…

1
Habari za Yanga

Mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani, Fiston Mayele amefikia sehemu nzuri ya mazungumzo yake na Yanga kuhusiana na mkataba wake mpya. Awali ilielezwa kuwa, Mayele ambaye amebakiza mkataba wa mwaka mmoja Yanga amepata ofa nzuri kutoka klabu za Uarabuni ikiwemo Pyramids na zingine za Qatar na hapa Bongo hivyo aliuomba uongozi asepe kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine. Juzi Jumatatu, Mayele na uongozi wa...

UKIWA NDANI YA CASINO YA MERIDIANBET….MPUNGA MWINGINE UTAUPATA KUPITIA ZOMBIE APOCALYPSE..

0
Meridianbet

Unapoicheza ndivyo utamu unavyozidi kuwa mwingi, mchezo mzuri na wenye mandhari ya sinema za Mazombie unakupa uhuru wa kujitafuta mara tu unapouanza kuucheza, furahia ushindi mwingi unapoingia kasino ya mtandaoni na kisha kuchagua mchezo wa Zombie Apocalypse. Hatua za Ushindi Kasino ya Mtandaoni Zombie Apocalypse una mistari 20 ya malipo, ushindi wote hulipwa kutoka kushoto kwenda kulia, isipokuwa alama ya Bonasi....

PAMOJA NA KUTUA ZAKE YANGA…MKUDE AIKATAA JEZI NO 6….MABOSI WAMLAZIMISHIA…

0
Mkude atua Yanga

Jonas Mkude ametambulishwa rasmi kama mchezaji mpya wa Yanga ikiwa ni wiki chache tangu apewe 'Thank You' na Simba aliyoitumika kwa miaka 13, huku akipewa namba 20 aliyokuwa akiitumia akiwa Msimbazi, na imefichua sababu ya kiungo huyo kuikomalia namba hiyo. Inaelezwa Yanga ilipanga kumpa Mkude jezi namba 6, lakini aliigomea namba hiyo na juzi baada ya mwenyewe kuikomalia jezi namba...

BARBARA AZIDI KUKINUKISHA SIMBA….AACHIA ‘DONGO’ LINGINE TENA …

0
Habari za Simba

Siku maoja baada ya Rais wa heshima wa Simba SC, Mohammed Dewji kupost ujumbe ambao umezua sintofahamu kwa Mashabiki na wananchama wa Klabu ya Simba SC akidai kuchoka kutokana na kutokamilika kwa mchakato wa Transformation ndani ya Klabu ya Simba kwa miaka sita. Juzi Julai 12, aliekuwa CEO wa Simba SC, Barbara Gonzalez ametweet ujumbe ambao umeacha maswali kwa walio...

BAADA YA KIMYA KIREFU…KABWILI AFUNGUKA KUVUTIWA NA DIARRA…AANIKA SIRI HII YA ‘NDANI ZAIDI’…

0
Habari za Michezo

Mlinda lango wa zamani wa Yanga na Rayon Sports ya Rwanda, Ramadhan Kabwili amesema katika makuzi yake ya soka amewahi kufanya mazoezi na magolikipa wote wakubwa na wazuri nchini na ndicho kinachomfanya leo hii anakua bora sana. Kabwili amesema anavutiwa zaidi na mlinda lango wa klabu ya Yanga Djigui Diarra namna ambavyo anacheza akiwa langoni na anawafundisha makipa wetu kucheza...

WAKATI SIMBA WAKIPANGA KUMUAGA MKUDE….MANARA KAIBUKA NA HILI JIPYA…AMETAJA MO DEWJI TENA…

0
Habari za Yanga

Baada ya Jana Julai 12 Klabu ya Yanga kutangaza kumsaini Kiungo Jonas Mkude aliekulia katika Klabu ya Simba SC. Ile kauli ya Simba kutaka kumuaga mchezaji huyo kwa heshima ni kama inaonekana kuwa ngumu hivi sasa baada ya kuachana nae mwishoni mwa msimu uliopita. Simba ilitangaza hadharani kupitia kwa Msemaji wake kuwa inajiandaa kumuaga Kiungo wao aliedumu Klabuni hapo kwa miaka...

BAADA YA SIMBA KUMTAMBULISHA NGOMA, MASHUJAA NAO WAJIBU MAPIGO

1

VILABU vya Mashujaa ya Kigoma na Simba ya Dar es Salaam leo vimetambulisha wachezaji wengine wapya mmoja kila timu waliojiunga na klabu hizo. Mashujaa imemtambulisha golikipa Lukumbuzya Paschal kukipiga Lake Tanganyika msimu ujao. “Kutoka kwenye jiji la miamba (Mwanza) Tumeinasa saini ya mkali wa milingoti mitatu Lukumbuzya Paschal kutoka klabu ya Pamba,”imesema Mashujaa. Nayo Simba imemtambulisha kiungo mpya raia wa Jamhuri ya...

IFANYE NDOTO YAKO YA KUWA MILIONEA KWA KUCHEZA NA SLOT HII YA MERIDIANBET CASINO….

0
Meridianbet

Kuna hadithi nyingi za watu maarufu wa kale na magwiji mbalimbali zimesimuliwa kupitia vitabu na michezo ya kasino ya mtandaoni, una nafasi ya kujipakulia minyama kwenye mchezo mpya wa Meridianbet kasino ya mtandaoni unaitwa Treasures of Gods.  Treasures of the Gods ni mchezo wa kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet unaotegemea kutafuta vitu vilivyofichwa. Kazi yako ni rahisi sana: unahitaji kupata...