BAADA YA KOMBE LA DUNIA…MIHELA YA MERIDIANBET YAHAMIA KWENYE CARABAO….HUKU ODDS MOJA TU UMEULA…

0

Hadithi nzuri na za kusisimua kuhusu Kombe la dunia zimefungwa rasmi, na sasa burudani iko pale pale hakuna kulala, tunahamia kwenye michuano ya Carabao CUP ambayo inaanza kutimua vumbi wiki hii, Manchester United, Manchester City, Liverpool na Newcastle United Mzuka ni mkubwa unaambiwa. Weka ubashiri wako popote muda wowote ODDS ni bomba Zaidi.  Mchanganuo wa ODDS Bomba Meridianbet!! Uko hivi..  Mechi...

STRAIKA YANGA ASUBIRIWA UFARANSA…MGUNDA KUANZA NA HUYU MKATA UMEME…

0

Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la MwanaSpoti la leo Jumatano.

YANGA YAMBAKISHA JOB….APEWA MKATABA KUFRU….CHAMA AMVUTA MZAMBIA MWENGINE SIMBA…NI BALAA HUYOO…

0

Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Spoti Xtra la leo Jumatano.

WAKATI AZAM WAKIENDELEA KUMUOTA FEI TOTO….BUMBULI AIBUKA NA KUWAUMBUA ….

0
Habari za Yanga

Kufuatia Klabu ya Azam FC kutajwa kuwa mabosi wa timu hiyo wanaiwinda saini ya kiungo wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’, aliyewahi kuwa Ofisa Habari wa timu hiyo, Hassan Bumbuli amefichua kuwa hii sio mara ya kwanza Azam kumhitaji. Tayari dirisha dogo la usajili Desemba 16, mwaka huu limefunguliwa timu mbalimbali zipo katika michakato ya kuboresha vikosi vyao kupitia usajili...

MASHABIKI SIMBA WACHANGANA KUNUNUA BASI JIPYA….

0
Basi la Simba

Jumla ya kiasi cha Sh 42.4 milioni zimechangwa katika harambee maalumu ya kununua gari aina ya Coaster ambalo litasaidia mashabiki na wanachama wa Simba tawi la Mafinga wilayani ya Mufindi, mkoani Iringa kwa ajili ya safari zao kuisapoti timu yao pindi itakapokuwa ikicheza. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu, Desemab 19, 2022 na Mwenyekiti wa tawi la Simba Mafinga, Dickson Mtevele (...

WAKATI SIMBA WAKIMGWAYA….IHEFU NA GEITA ZAMMEZEA MATE KIBU DENIS…

1
Habari za Simba

Klabu ya Geita Gold imetuma ofa Simba ya kutaka saini ya mshambuliaji wake Kibu Denis kwa mkopo katika dirisha dogo la mwezi huu wa Desemba. Gazeti la Mwanaspoti limethibitisha matajiri hao wa dhahabu wapo kwenye kusuka upya kikosi chao na pendekezo la kwanza kwenye eneo la ushambuliaji ni Kibu ambaye wanaamini atarithi mikoba ya George Mpole aliyetimkia FC Lupopo ya...

ALICHOSEMA BOSI WA GEITA GOLD BAADA YA KUPIGWA 5-0 NA SIMBA…ATANGAZA MSAKO NCHI NZIMA…

0
Habari za Simba

Mkurugenzi wa Halmashauri Mji wa Geita, Zahra Michuzi amesema kichapo cha Simba SC cha mabao 5-0 wamekipokea kama funzo, ambalo litaendelea kuwakomaza katika Mshike Mshike wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Simba SC ilichomoza na ushindi huo ugenini Uwanja wa CCM Kirumba jana Jumapili (Desemba 18), mabao yakifungwa na John Bocco, Clatous Chotta Chama, Kibu Denis na Pape Ousman Sakho aliyefunga...

WALIOKOSA PENALTI UFARANSA WABAGULIWA….MASHABIKI ‘WAWATOLEA POVU.’..

1

Nyota wa timu ya taifa ya Ufaransa wenye asili ya Afrika, Kingsley Coman na Aurelien Tchouaméni, wanashambuliwa kibaguzi na baadhi ya mashabiki wa taifa hilo mara baada ya kukosa mikwaju ya penati kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Argentina hapo jana. Mashabiki hao wanaacha maoni(comments) za kibaguzi kama vile (???????? ) na wengine kuwaita "Nigas"kwenye kurasa za Instagram za mastaa. Tukio...

KAMA ILIKUPITA ,…HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA JANA MGUNDA AKIBEBA TUZO NA ‘MAPESA’ ….

0

Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda amekabidhiwa tuzo ya kocha bora wa Ligi Kuu ya NBC mwezi Novemba muda mfupi kabla ya kuanza mchezo  dhidi ya Geita Gold kuanza katika Uwanja wa CCM Kirumba ambao ulimalizika kwa Siba SC kuibuka na ushindi wa magoli 5. Mgunda aliwashinda makocha Hans Van Pluijm wa Singida Big Stars na Meck Mexime wa...

ALICHOSEMA MGUNDA BAADA YA ‘KUITIFUA’ GEITA GOLI 5….KAGERA SUGAR KAZI MNAYO AISEE….

0
Kocha Msaidizi Simba, Juma Mgunda

Licha ya kufanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 5-0 kocha Juma Mgunda ameisifu Geita Gold na kusema ni timu nzuri na imewapa ushindani mkubwa. Mgunda amesema mpira ni mchezo wa makosa ambapo Geita Gold waliyofanya na wao kukayatumia vizuri kupata ushindi mnono. Mgunda ameongeza kuwa tangu wanatoka Dar es Salaam kwenda Mwanza walikuwa wanajua wanaenda kukutana na timu imara na...