Michezo Bongo

Browse all posts in this category.

Michezo Bongo

YAO HATARINI MIKONONI MWA PEDRO

Hatma ya beki wa Yanga, Attohoula Yao, kuendelea kusalia ndani ya kikosi cha Wananchi ipo mikononi mwa Kocha Mkuu, Pedro Gocalves, ambaye…

Dec 11, 2025
Michezo Bongo

YANGA KUNGIA KAMBINI DESEMBA 15

OFISA Habari wa Yanga, Ali Kamwe, amesema kikosi cha timu hiyo kimepewa mapumziko rasmi na kinatarajiwa kurejea kambini Desemba 15 mwaka huu…

Dec 10, 2025
Michezo Bongo

PATA 10% YA HASARA YAKO KILA UKICHEZA WIN&GO

Mwezi wa Disemba umejaa fursa za kipekee kwa wapenzi wa michezo ya kasino. Meridianbet inakuletea Win&Go na ofa ya kurejeshewa 10% ya hasara zako kila siku.…

Dec 10, 2025
Michezo Bongo

DAU LAKO, UTAJIRI WAKO LEO NA UEFA

Kama kawaida michuano ya ligi barani Ulaya inazidi kupamba moto ambapo Meridianbet inahakikisha kuwa huondoki patupu. Suka jamvi lako na ubashiri mechi…

Dec 10, 2025
Michezo Bongo

HAMZA AFANYIWA UPASUAJI, SIMBA YAPATA TUMAINI

BEKI wa kati wa Simba, Abdulrazack Hamza, hatimaye amekamilisha matibabu ya upasuaji yaliyofanyika nchini Morocco, hatua inayompa matumaini mapya ya kurejea uwanjani…

Dec 9, 2025
Michezo Bongo

KIUNGO WA YANGA ATEMWA NA IVORY COST

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ameangukia panga baada ya kuachwa kwenye kikosi cha mwisho cha Ivory Coast kitakachoshiriki AFCON 2025, licha…

Dec 9, 2025
Michezo Bongo

SELEMANI MWALIMU AONDOLEWA KIKOSINI

MSHAMBULIAJI wa Wydad Casablanca wa Morocco, Seleman Mwalimu, anayekipiga Simba kwa mkopo, ameondolewa kwenye kikosi cha Taifa Stars kitakachoshiriki Fainali za AFCON…

Dec 9, 2025
Michezo Bongo

USHINDI UNAANZIA HAPA NYUMBANI

Nafasi ya ushindi hii hapa na wakali wa Meridianbet ambapo kupitia promosheni ya Beti Online unaweza ukaondoka na Samsung A26. Weka dau…

Dec 8, 2025