KUELEKEA MECHI YA KESHO….AZAM WALISUKUMA FUPA LA YANGA KWA FEI TOTO….
Azam FC wamesema kuwa hawana hofu ya mchezo wa Dar es salaam watakaocheza dhidi ya Young Africans huku wakimpa jukumu zito kiungo…
Browse all posts in this category.
Azam FC wamesema kuwa hawana hofu ya mchezo wa Dar es salaam watakaocheza dhidi ya Young Africans huku wakimpa jukumu zito kiungo…
Ukiichukua jezi ya Kibu Danis baada ya mechi yoyote ukaikamua utapata jasho jingi kuliko mchezaji mwingine yeyote. Huyu ni Simba haswaa. Hachoki…
Pale Simba Onana ameanza kujichimbia kaburi yeye mwenyewe kwasababu amesahau kabisa kuwa Simba sio Ihefu. Onana hakumbuki kabisa alisajiliwa kwa gharama kubwa…
Bondia wa ngumi za kulipwa Tanzania, @hassanmwakinyojr amemuombea msamaha Haji Manara kwa Kamati ya Nidhamu ya TFF kumsamehe adhabu yake. Manara amefungiwa…
Kocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefafanua kuwa sababu ya kutoanza namba tisa asilia katika mchezo wa ufunguzi wa African Football…
Rais wa Klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Moise Katumbi ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuipokea timu…
Tajiri na mwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ na jopo lake, wamewawekea mezaji wachezaji Sh1 bilioni ili waitoe Al Ahly kwenye michuano…
Mrithi wa mikoba ya Fiston Mayele ndani ya kikosi cha Yanga, Kennedy Musonda anapambania kombe kutokana na kuendelea kujitafuta kwenye kufunga ndani…
Mchezo wenye hadhi ya ufunguzi wa michuano mipya ya African Football League (AFL) Simba dhidi ya Al Ahly umemalizika kwa sare ya…
TP Mazembe watacheza mchezo wao wa kwanza wa African Football League (AFL) katika dimba la Benjamin Mkapa dhidi ya Esperance De Tunis,…
Wachezaji Djigui Diarra, Stephene Aziz Ki na Khalid Aucho wameripoti kambini kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC.…
Maneno pekee ambayo unaweza kuyatumia na ukaeleweka kwa urahisi ni kua Meridianbet wameibariki Tabata Visiwani, Kwani mabingwa hao wa michezo ya kubashiri…