Simba SC

Browse all posts in this category.

Post thumbnail placeholder
Simba SC

SIMBA YAIPIGA MKWARA YANGA, YATAKA MAKOMBE YOTE

 WAKATI wakiwa wanatarajia kukutana kwenye fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), Mtendaji Mkuu (C.E.O) wa Simba, Barbara Gonzalez ni kama ametuma ujumbe mzito kwa wapinzani wao Yanga kwa kubainisha wazi kwamba watachukua ubingwa…

Jul 2, 2021
Post thumbnail placeholder
Simba SC

MTAMBO WA MABAO SIMBA KAMILI KUIVAA YANGA

 MSHAMBULIAJI wa Simba, raia wa DR Congo Chriss Mugalu, amerejea kuwavaa Yanga hii ni baada ya kukosa mechi mbili zilizopita kutokana na kuwa na maumivu ya msuli.   Mugalu ambaye…

Jul 2, 2021
Post thumbnail placeholder
Simba SC

SIMBA: TUTAWAFUNGA YANGA KWA KANUNI

ZIKIWA zimebaki siku mbili kuwakutanisha watani wa jadi, Simba na Yanga Uwanja wa Mkapa, Julai 3, taarifa kutoka benchi la ufundi la…

Jul 1, 2021