SIMBA SC WAISHINDA AL MERRIKH CAF
Bodi ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeisafisha Simba juu ya tuhuma zilizoibuliwa na Al Merrikh ya Sudan…
Browse all posts in this category.
Bodi ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeisafisha Simba juu ya tuhuma zilizoibuliwa na Al Merrikh ya Sudan…
UWEZO wa nyota wa Simba, Francis Kahata ndio tiketi yake itakayomnusuru kuachwa na wekundu wa Msimbazi Simba kuelekea usajili wa msimu ujao…
KIPA namba moja wa Simba na Taifa Stars, Aishi Manula akikamilisha tu dili lake la kujiunga na Klabu ya Al Merrikh ya Sudan basi kila mwezi atakuwa anakunja…
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa kwa namna kiwango cha kipa wao namba moja Aishi Manula kinavyzodi kuwa bora ipo siku atakuwa…
DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wote ikiwa ni pamoja na Luis Miquissone ambaye ni kiungo pamoja na…
ALLY Mayay, ‘Tembele’, kiungo wa zamani wa Klabu ya Yanga amesema kuwa kitu pekee ambacho kinaweza kuwapa matokeo chanya Simba kwenye mechi…
KOCHA Mkuu wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes, amewataka wachezaji wake wote wa kigeni waliopo kwenye majukumu ya timu za taifa kuhakikisha wanaripoti kambini Machi 30, mwaka huu ili kuendelea na…
UONGOZI wa Azam FC umefunguka kuwa hauna mpango wa kumsajili beki wa Klabu ya Simba, Gadiel Michael kwa kuwa hakuna mapendekezo yoyote kutoka kwa kocha, George Lwandamina ya maboresho…
IMEELEZWA kuwa malalamiko ambayo Klabu ya Al Merrikh ya Sudan wameishtakia Simba yamekwama baada ya uongozi wa Shirikisho la Soka Afrika, (Caf)…
WAKATI kipa wa Simba, Aishi Manula akiendelea kung’ara kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika Rais wa Klabu ya Al-Merrikh SC ya Sudan, Adam Sudacal yupo tayari kutoa ofa ya zaidi…
CLATOUS Chama, kiungo mshambuliaji wa kikosi cha Simba, amekabidhiwa mchezo dhidi ya AS Vita kuipa ushindi timu hiyo na kutinga robo fainali. Chama mwenye pasi mbili za mabao kwenye Ligi…
KOCHA Msaidizi wa Klabu ya AS Vita ya DR Congo, Raoul Shungu amesema kuwa watawahi mapema kuja Tanzania kwa ajili ya mchezo…