Saturday, December 9, 2023
Home Blog
NYOTA wa Pamba Jiji, Haruna Chanongo amewaonya mastaa wenzake wa kikosi hicho kutobweteka na ushindi walioupata katika michezo miwili mfululizo ya ugenini. Chanongo alisema kikosi chao kimefanya vizuri licha ya kukutana na upinzani mkali huku akisisitiza ligi ni ngumu na...
Matokeo ya suluhu iliyoipata Al Ahly nyumbani Cairo dhidi ya CR Belouizdad yameifanya Yanga kuwa na matumaini ya kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga ilipata sare ya bao 1-1 na Medeama ya Ghana mchezo wa tatu wa...
IKIWA ni saa chache zimebaki kabla ya wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba kutupa kete ya tatu kusaka pointi tatu dhidi ya Wydad Casblanca wameweka wazi kuwa kwa nguvu ya Mungu watazipata pointi tatu. Ipo wazi kwamba...
MASTAA wa Simba wameapa kupigana kufa na kupona ili kuhakikisha timu yao inapata matokeo mazuri katika mchezo wao wa ugenini dhidi ya Wydad Casablanca ya nchini Morocco. Simba leo Jumamosi watakuwa na kibarua cha kucheza na Wydad Casablanca ambao hawajapata...
Matokeo ya suluhu iliyoipata Al Ahly nyumbani Cairo dhidi ya CR Belouizdad yameifanya Yanga kuwa na matumaini ya kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga ilipata sare ya bao 1-1 na Medeama ya Ghana mchezo wa tatu wa...
Mashabiki wa Simba, wanasikilizia chama lao likishuka uwanjani usiku wa leo kwa mara ya pili chini ya kocha mkuu Abdelhak Benchikha ugenini dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco kwenye mechi ya tatu ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku mastaa...
Kumekucha Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), wakati mechi za Ngao ya Jamii zikipigwa leo, huku vigogo Simba Queens, Yanga Princess, JKT Queens na Fountain Gate Princess zikisaka taji hilo linaloshindaniwa kwa mara ya kwanza kwenye ligi hiyo. Simba na Yanga...
Ukichungulia msimamo wa Ligi Kuu kwa sasa pale kileleni utawakuta Matajiri wa Dar es Salaam, Azam FC wakiwa wamepoa na alama zao 25, baada ya mechi 12, za Ligi Kuu huku uwanjani wakitandaza soka safi. Unaweza kusema wameamka na sasa...
Mashujaa imecheza mechi nane mfululizo bila kupata ushindi katika Ligi Kuu Bara, kitu kimemfanya Kocha Mkuu wa timu hiyo, Abdallah Mohamed 'Baresi' kuamua kubwaga manyanga kwa kuandika barua ya kujiuzulu kukinoa kikosi hicho ikiwa ni saa chache baada ya...
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Azam, Zakaria Thabiti maarufu kama Zakazakazi amefunguka kuhusu tetesi za klabu ya Simba kumtaka winga wao, Kipre Jr ambaye kwa siku za hivi karibuni amekuwa mwiba kwelikweli kwenye lango la mpinzani. Akiongea...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS