Home Blog
Promosheni mpya yenye burudani ya kipekee imetua Meridianbet. Kwa wapenzi wa michezo ya kasino mtandaoni, huu ndio wakati wa kuonja burudani halisi kupitia promosheni kabambe ya Non-Stop Win&Go Drop. Promosheni hii imezinduliwa mahsusi kuwapa wachezaji furaha isiyo na kikomo...
Kama kawaida mabingwa wa Ulaya wapo dimbani leo kusaka ushindi mnono, huku wewe ukisaka mepene na Meridianbet. Tengeneza mkeka wako wa ushindi na Meridianbet sasa uibuke bingwa. Vijana wa Pep Guardiola, Manchester City watakuwa Etihad kusaka ushindi dhidi ya Borussia...
Kila Oktoba, dunia huvaa rangi ya waridi, rangi ya matumaini, mapambano, na mshikamano dhidi ya saratani ya matiti. Kwa Meridianbet, huu si mwezi wa kauli mbiu tu, bali ni kipindi cha kuthibitisha dhamira ya kweli ya kusaidia jamii na...
Kwa miaka mingi, ile ladha ya Spinners imekuwa ikiwavuta watu kwenye kasino za mtaani. Yale makelele ya furaha, ule msisimko wa gurudumu likizunguka, na ule mchecheto wa kusubiri kuona kama ishara yako itatua mahali sahihi β€” hayo ndiyo maisha...
Meridianbet wamekuja kivingine kwa kuleta Lucky Friday, kitu kipya chenye msisimko, furaha, na faida halisi. Kama jina linavyosema, hii ni Ijumaa ya bahati, siku ya kugeuza michezo yako ya kawaida kuwa fursa ya kupata ushindi wa kipekee. Lucky Friday ni...
Je unajua kuwa ni rahisi sana kutengeneza jmvi lako la ushindi ukiwa na Meridianbet?. Ushindi wako utanoga zaidi ukiwa na wakali hawa wa ubashiri leo. Usingoje kupitwa na hili. UjerumaniΒ  DFB POKAL kutakuwa na mechi za kukata na shoka, Eintracht...
NYOTA wa kimataifa na nahodha wa timu ya taifa, Mbwana Samatta juzi Jumapili alitimiza jumla ya dakika 519 kupitia mechi nane za Ligi Kuu ya Ufaransa bila ya kufunga bao. Samatta aliyetua katika Ligue 1 msimu huu, akijiunga na Le...
MENEJA wa Simba, Dimitar Pantev, amechekelea timu hiyo kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini akawageukia mastaa wa kikosi hicho kuhusu mpango wa kutengeneza mabao mengi. Pantev hafurahishwi na namna kikosi hicho kinavyotengeneza nafasi na hata kuzitumia...
HII ni rekodi mpya kwani tangu Tanzania ianze kuingiza timu nne katika michuano ya CAF ngazi ya klabu msimu wa 2019–20, haijawahi kutokea timu zote za Bara zikafuzu hatua ya makundi, safari hii rekodi mpya imewekwa. Tayari tumeshuhudia mara tatu...
Yanga chini ya Kocha wao Mpya Pedro inaweza kuja kutumia mifumo mitatu tofauti ambayo kocha huyo alikuwa akiitumia akiwa na Angola 4-4-2, 3-5-2 na pia 4-2-3-1. Falsafa ya kocha huyo ni kuona timu yake inacheza soka la nidhamu la kuvutia,...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS