Home Blog
Ofisa Habari wa Yanga SC amesema kuwa Simba SC ya msimu huu wa 2025/26 ni mbovu kuliko ile ya msimu uliopita wa 2024/25. Yanga SC kwa sasa mkononi wana taji la Ngao ya Jamii walitwaa kwa kushinda mbele ya Simba...
WIKIENDI imechangamka kwenye anga la kimataifa kutokana na timu zote nne kutoka Tanzania kuwa katika kazi. Ijumaa, Uwanja wa 11 de Novembro, Wiliete Sports vs Yanga SC, saa 12:00 jioni. Simba SC Jumamosi Septemba 20 itakuwa uwanjani kumenyana na Gaborone United...
TANGU msimu wa 2013-14 ambao Azam FC ilibeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara ikiwa ni mara ya kwanza kwao, wamepita makocha mbalimbali kuifukuzia rekodi hiyo, wameshindwa. Mzigo huo sasa umeangukia kwa Florent Ibenge, kocha mwenye rekodi kubwa katika soka la...
DARUWESH Saliboko wa KMC amekuwa mchezaji wa kwanza msimu huu kufunga bao katika Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-2026 alipoiwezesha timu hiyo kuibuka washindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji ameanza mbwembwe mapemaa. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Polisi...
SIMBA, Yanga, Azam na klabu nyingine chache za Ligi Kuu Tanzania Bara, zitakuwa miongoni wa wanufaika wa kupata fidia ya fedha kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA) kwa kuruhusu wachezaji wao kuzitumikia timu mbalimbali za Taifa...
VIONGOZI wa Yanga wamefanya kila kitu kuhakikisha timu hiyo inaendelea kuwa na kikosi kizuri chenye uwezo wa kutetea mataji iliyobeba msimu uliopita ikiwamo Ligi Kuu Bara. Yanga ikiwa ndiyo klabu yenye mafanikio zaidi katika Ligi Kuu Bara ikichukua taji hilo...
YANGA imeshatua Angola tayari kwa kukutana na Waliete FC, ya huko lakini kabla ya mastaa wa timu hiyo hawajashuka kwenye 'pipa' kuna mamilioni wameingiziwa ambayo yanatokana na Simba. Yanga itakuwa uwanjani kesho, kupambana na Waliete ukiwa ni mchezo wa kwanza...
AZAM FC tayari ipo Juba, Sudan Kusini kwa ajili ya mechi ya raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji wao, El Merrikh Bentiu, huku kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Feisal Salum β€˜Fei Toto’ akila kiapo...
RATIBA ya Ligi Kuu Bara 025-2026 imetoka ambapo pazia litafunguliwa kesho, Septemba 17, 2025 kwa KMC kuikaribisha Dodoma Jiji saa 10:00 jioni huku Coastal Union ikipambana na Tanzania Prisons saa 1:00 usiku. Hizi hapa timu zitakazokuwa na mechi nyingi saa...
Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii uliochezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Shujaa wa Yanga katika mchezo huo alikuwa ni Pacome Zouzoua...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS