WAKATI wakiwa kwenye maandalizi ya mwisho kuikabili Dodoma Jiji kwenye mchezo wa mzunguko wa pili kuna hatihati Simba ikakosa huduma ya beki wao wa kazi na kiungo namba moja kwenye kutengeneza mabao.
Ni beki Che Malone huyu hayupo fiti alipata...
MACHI 14 2025 orodha ya wachezaji 24, wanaounda kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, ambacho kitaingia kambini kujiandaa na mchezo wa Kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Morocco imetajwa.
Chini ya Kocha Mkuu, Hemed Morocco nahodha...
ACHANA na kile kinachoendelea Msimbazi kwa sasa juu ya Simba kugomea mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga uliotakiwa kupigwa Jumamosi, Machi 8, mwaka huu, kando ya hilo kuna mambo mengi yanayoendelea, lakini za ndaani ni kwamba mabosi...
NDO hivyo bwana! Kitendo cha Simba 'kugomea' mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga kabla ya Bodi ya Ligi kubariki kwa kuahirisha bila kuzingatia kanuni za Ligi Kuu, kinaifanya timu hiyo ya Msimbazi kujiweka pabaya dhidi ya jinamizi...
NYOTA wawili wa Simba SC, kipa Moussa Camara na beki Che Malone Fondoh, wanatarajiwa kurejea uwanjani kwa mchezo muhimu wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry ya Misri.
Wawili hao wamekosekana kwenye michezo miwili ya...
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hamdi Miloud, ameweka wazi kuwa mshambuliaji wao mpya, Jonathan Ikangalombo, yupo katika hali nzuri na anaamini atakuwa msaada mkubwa kwa timu hiyo katika siku zijazo.
Ikangalombo, ambaye alisajiliwa katika dirisha dogo la usajili, ameanza kuonyesha makali...
Mechi kibao zinaendelea leo na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo.
BUNDESLIGA pale Ujerumani itaendelea FC ST. Pauli watawaleta kwao TSG Hoffenheim...
Mechi za Europa League hatua ya mtoani zinaendelea leo ambapo mechi kibao zitakuwa dimbani kuanzia saa 2 usiku kuhakikisha zinapata ushindi ili kusonga hatua ya Robo Fainali. Nani ni nani kusonga mbele?
Glasgow Rangers atakipiga haswa dhidi ya Fenerbahce ya...
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia ameibuka mshindi wa kiti cha ujumbe wa kamati ya utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) katika uchaguzi mkuu wa shirikisho hilo unaofanyika leo huko Cairo,Misri.
Karia...
Baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kutoa tangazo la kuufungia Uwanja wa Michezo wa Benjamin Mkapa, Serikali imesema walitakiwa kuwasiliana nao kabla ya kuufungia kwa sababu ulishakarabatiwa.
Akizungumza leo Machi 12,2025, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,...