NYOTA wa zamani wa Simba raia wa Ghana, Bernard Morrison 'BM3', amesifu tamasha la kikosi hicho linalofanyika leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.
Kupitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram, Morrison aliandika 'Hili ndilo...
KAMA kuna mashabiki waliinjoi leo kwa Mkapa basi ni kushuhudia shoo ya Mwimbaji wa Bongo Fleva, Mbwana Yusuph Kirungi maarufu kama Mbosso.
Kama kuna tuzo zingetolewa za 'man of the show' msanii huyo alikuwa anaondoka nayo kutokana na namna alivyoingia...
SIKU moja baada ya kutambulishwa na Simba, beki Vedastus Masinde amesema anafurahia kujiunga na timu aliyoitaja kuwa ni bora kwake na anakwenda kufanya kazi na wachezaji wengi ambao anafahamiana nao akimtaja Wilson Nangu.
Masinde amejiunga na Simba akiwa mchezaji huru...
HUKO mtandaoni na hata mitaani kwa sasa mjadala ulioteka wadau wa soka ni ishu ya thamani ya Sh100 bilioni iliyonayo Yanga baada ya kutangazwa katika Mkutano Mkuu wa klabu hiyo uliofanyika juzi kwenye Ukumbi wa The Super Dome Masaki,...
DIRISHA la usajili lilifungwa usiku wa jana, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kuwatema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama utani.
Simba iliyotangaza sura za kazi kwa...
Meridianbet imeleta mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa michezo ya kubashiri kwa kuzindua Meridian Bonanza, mchezo mpya wa kasino mtandaoni unaovunja mipaka ya ushindi na ubunifu.
Ukiwa umeundwa kwa ustadi wa hali ya juu, Meridian Bonanza unawapa wachezaji uzoefu wa kasino...
Je unajua kuwa Jumanne ya leo unaweza ukajipatia maokoto ya maana kwenye mechi mbalimbali zinazoendelea za kufuzu Kombe la Dunia?. Tanzania, Senegal. DR Congo na wengine kibao wapo kwaajili yako. Suka jamvi lako la uhakika hapa.
Leo hii Nigeria atakichapa...
SIMBA iko uwanjani leo Jumatano kwa mara ya kwanza tangu itoke kambini Misri, lakini baada ya mshambuliaji Jonathan Sowah, kuna staa mwingine inaweza kumkosa mbele ya Yanga.
Simba itamkosa Sowah kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga, lakini...
KWA mashabiki huko mitaani tambo ni nyingi, lakini katika kikosi cha Simba, mambo yanaendelea kusukwa taratibu, kwani timu iko kambini kujiwinda na Simba Day kesho, huku uongozi mpya nao ukiweka mambo sawa kwa ajili ya kujipanga na msimu mpya...
Meridianbet inakukaribisha kwenye promosheni ya kipekee ya Wild White Whale kwa mwezi wa Septemba 2025. Kuanzia tarehe 1 hadi 31 Septemba, wachezaji wana fursa ya kupata mizunguko 50 ya bure kila siku kwa kukamilisha mizunguko 100 kwenye mchezo huu...