Meridianbet Foundation, taasisi ya kijamii chini ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI), imeadhimisha miaka mitano ya utekelezaji wa mpango wake wa kimataifa wa kutoa ufadhili wa masomo. Mpango huu unatekelezwa katika masoko 17 ambapo Meridianbet inaendesha shughuli zake, ukiwa...
Kwa mara nyingine tena, Meridianbet, kampuni inayoongoza kwa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, inawapa wateja wake sababu ya kutabasamu. Mwezi huu wa Juni, wamezindua promosheni ya kibabe inayojulikana kama “Paa na Super Heli, Shinda Samsung A25” maalum kwa mashabiki...
Jambo la kusisimua na la fursa limekufikia hivi sasa ndani ya Meridianbet ambapo unaweza kushinda pesa halisi huku ukijiburudisha na michezo yako unayoipenda ndani ya Meridianbet.
Msimu huu Meridianbet inakuletea promosheni kali ya 3 OAKS ambayo ina michezo kibao maarufu...
NGOMA ni nzito kwa kiungo mshambuliaji Feisal Salum kusepa ndani ya Chamazi Complex kupata changamoto sehemu nyingine mpya kutokana na mabosi wa timu hiyo kuongeza dau upande wa mshahara.
Fei amekuwa akitajwa kuwa kwenye rada za Simba SC na Yanga...
MASHABIKI wa soka kwa sasa wanahesabu siku kabla ya kushuhudia pambano la Dabi ya Kariakoo lililopangwa kupigwa Juni 25 baada ya kuahirishwa mara mbili Machi 8 na Juni 15, kuna taarifa ambayo huenda isiwe nzuri kwa mashabiki wa Yanga.
Timu...
MWAMBA wa Burkina Faso, Stephanie Aziz KI tayari ameshaanza kukipiga katika chama lake jipya la Wydad Casablanca alikotua hivi karibuni akitokea Yanga, lakini huku nyuma kaacha kumbukumbu kibao Jangwani anazotembea nazo.
Nyota huyo aliyekuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara...
MASHABIKI wa soka nchini wameanza kuhesabu vidole kuhusiana na siku ya kupigwa Dabi ya Kariakoo iliyopangwa kuchezwa Juni 25 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam baada ya kuahirishwa mara mbili mfululizo Machi 8 na Juni 15.
Hata hivyo,...
LIGI Kuu Tanzania Bara ipo kwenye dakika za lala salama. Tayari nafasi nne za juu zimeshajulikana. Hiyo ikimaanisha kwamba Simba, Yanga, Azam na Singida watakwenda kimataifa msimu ujao.
Baada ya uhakika huo, Yanga tayari wameanza kukaa mkao wa usajili wa...
Ofa ya kibabe imetua leo hii, Meridianbet wanakupa nafasi ya kushinda bonasi kubwa leo endapo utabashiri mtanange wa Inter Miami vs FC Porto kwa chaguo la GG&3+. Ingia kwenye ushindani leo kushindania bonasi hizi.
Timu zinaonesha ubabe wa hali ya...
Meridianbet inayo furaha kukutambulisha kwa 3 Oaks Gaming, mtoa huduma mpya kabisa aliyejiunga na familia ya kasino mtandaoni ya Meridianbet. 3 Oaks Gaming anajulikana kwa ubunifu, burudani ya hali ya juu, na michezo yenye nafasi kubwa za ushindi kwa...