MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, ameweka bayana dhamira ya klabu hiyo kuandika historia mpya katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, wakilenga kuvuka hatua ya nusu fainali dhidi ya Stellenbosch FC ya Afrika...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limefanya mabadiliko ya ghafla ya refa wa mechi ya marudiano ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Stellenbosch na Simba itakayochezwa Jumapili, Aprili 27, 2025.
Awali refa aliyepangwa kuchezesha mechi...
KAMPUNI ya vifaa vya michezo na viatu, Diadora ya Italia yenye maskani yake mjini Caerano di San Marco imeingia mkataba wa kuitengenezea jezi klabu ya Simba ya Dar es Salaam.
Akizungumza leo Jijini Durban, Afrika Kusini Mtendaji Mkuu wa Kampuni...
Ukiwa unajiuliza ni wapi unaweza kujihakikishia ushindi wa maana, mimi nakwambia chimbo ni moja tuu nalo ni Meridianbet, ambapo Nusu Fainali za kwanza UEFA kupigwa Jumanne na Jumatano. Je nani kuibuka bingwa?
Jumatano hii mechi kali kabisa Barcelona atakuwa nyumbani...
MECHI ya marudiano ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Stellenbosch dhidi ya Simba itakayopigwa Aprili 27, 2025 kwenye Uwanja wa Moses Mabhida, Durban nchini Afrika Kusini, imeendelea kugusa hisia za mashabiki huku kukiwa na presha...
Wakali wa ubashiri Tanzania leo hii Meridianbet wanakwambia hivi nafasi ya wewe kushinda zaidi ya mamilioni ipo hapa. Mechi kibao za ushindi zipo hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubeti hapa.
LALIGA pale Hispania leo hii itaendelea ambapo Sevilla atakuwa...
40 Imperial Crown kasino ya mtandaoni yenye safu tano zilizopangwa katika nguzo nne na una jumla ya mistari 40 ya malipo. Ili kuweza kushinda, ni lazima kuunganisha alama tatu au zaidi za kufanana kwenye mstari wa malipo. Kuwa sehemu...
Kwa miaka ishirini na tano, Vodacom Tanzania PLC imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuchochea maendeleo endelevu katika jamii. Msafara wa Twende Butiama wa mwaka 2025 kwa mara nyingine unadhaminiwa na Vodacom na litahusisha msafara wa umbali wa karibu kilomita...
OFISA Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe, ameonya mashabiki wa timu hiyo dhidi ya kushangilia mapema ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, akisema kuwa bado kuna kibarua kigumu katika michezo mitatu iliyosalia.
Yanga, ambao wako kileleni mwa msimamo wa...
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji maarufu kama Mo Dewji, amewataka mashabiki wa timu hiyo kusitisha lawama kwa wachezaji na badala yake kuwaunga mkono katika kipindi hiki muhimu.
Akizungumza baada ya mchezo wa kwanza wa...