Ni siku nyingine tena ya wewe mateja wa Meridianbet kutusua mpunga wako na wakali wa maana kwa dau lako dogo tuu ambalo unalitaka. Pia hapa unaweza ukabashiri na machaguo zaidi ya 1000. Usisubiri kuahdithiwa hii ni zaidi ya fursa...
DIRISHA la usajili la usajili linatarajiwa kufungwa usiku wa leo, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kutema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama zali.
Ipo hivi. Msimu...
YANGA imehakikishiwa kuwa, ndani ya wiki mbili tu itakabidhiwa rasmi hati ya ongezeko la eneo la ujenzi wa uwanja unaotarajiwa kujengwa makao makuu ya klabu hiyo mtaa wa Jangwani.
Eneo hilo awali ndiko ulikokuwa Uwanja wa Kaunda ulioifanya Yanga kuwa...
YANGA imetangaza itatumia kiasi cha Sh 33 Bilioni kwa msimu ujao wa 2025-2026 kuhakikisha wanaendelea kutamba.
Akitangaza bajeti hiyo Makamu wa Rais wa Yanga Arafat Haji amesema bajeti hiyo ni ongezeko la kama Sh 8 bilioni kulinganisha na bajeti ya...
MWENYEKITI wa Kamati ya Mabadiliko ya Mfumo wa Uendeshaji wa Klabu ya Yanga, Alex Mgongolwa, amesema kwa sasa thamani ya timu hiyo imefikia kiasi cha Sh100 bilioni.
Thamani hiyo ni kubwa kuliko hata iliyo nayo klabu ya Al Ahly ambayo...
Jumamosi ya kibabe imefika, mechi za Mataifa mbalimbali zinaendelea kwani kila timu inajifua kufuzu Kombe la Dunia 2026. Meridianbet wao wanakwmabia kuwa nafasi ya wewe kuibuka na mkwanja mrefu ipo hapa. Usingoje kupitwa na ODDS kubwa leo.
Je unajua kuwa...
Meridianbet imekuja na mapinduzi mapya kwa wapenda burudani wote, ni Meridian Bonanza, mchezo wa kasino wa kisasa unaochanganya ubunifu, msisimko, na nafasi halisi za ushindi. Kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri wanaotafuta kitu kipya chenye mvuto wa kipekee, basi...
KOCHA wa Simba, Fadlu Davids mjanja sana baada ya kupata uhakika ukuta wa timu hiyo umeimarika zaidi kwa kutua beki wa kati mwingine mpya, Wilson Nangu na kipa wa Taifa Stars, Yakoub Suleiman ametoa kauli inayoonekana kama mtego kwa...
Simba imefanya mabadiliko makubwa ya Bodi ya Wakurugenzi baada ya mwekezaji Mohammed Dewji 'MO' akijiweka kando, huku akimteua Crescentius Magori kuchukua nafasi hiyo, ilihali CEO wa zamani wa klabu hiyo, Barbara Gonzalez akirejea klabuni.
Mabadiliko hayo ambayo yametangazwa dakika chache...
Je unajua kuwa leo hii mechi za kufuzu Kombe la Dunia zipo kwaajili yako?. Suka jamvi la uhakika na wakali wa ubashiri Tanzania. Pesa zipo nje nje Alhamisi hii ya leo. Usisubiri kupitwa hapa.
Piga pesa mechi ya Netherlands vs...