Trending Stories
View All
MICHAEL SARPONG AIGOMEA YANGA
LICHA ya kusamehewa na kutakiwa kurejea kambini, lakini mshambuliaji wa Yanga, Mghana, Michael Sarpong ameonesha hali ya kugoma. Hivi karibuni, Sarpong na Lamine Moro walirejeshwa kikosini baada…
MUGUNA SIO WA YANGA TENA..HUYOOO AZAM FC
Kiungo wa Gor Mahia ya Kenya Kenneth Muguna rasmi amewaaga mashabiki, viongozi na wachezaji wenzake huku akizidisha uwezekano wa kutua…
MUONEKANO WA UKURASA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JJUMATANO
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
BUKU KUMI TU KIINGILIO SIMBA V YANGA, MWISHO WA RELI KIGOMA
KUELEKEA kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho kati ya Simba v Yanga tayari mashabiki washajua viingilio kwenye mchezo…
YANGA KUKAMILISHA IDADI YA WACONGO WATANO NDANI YA KIKOSI
WANASUBIRIWA Fiston Mayele na Heritier Makambo pekee ili Yanga kukamilisha idadi ya wachezaji watano kutoka DR Congo ambao wapo kwa…
MZEE WA KUKERA MORRISON KUIWAHI YANGA KIGOMA
MZEE wa kukera ndani ya uwanja, Bernard Morrison kwa sasa amesharejaea ndani ya ardhi ya Tanzania baada ya kutokuwepo kwa…
MSHAMBULIAJI ALIYEKUWA KWENYE RADA ZA YANGA KUIBUKIA SIMBA
IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye mazungumzo ya mwisho kukamilisha dili la mshambuliaji wa Mbeya City, Kibu Denis. Mshambuliaji huyo…
WAZAWA WAKIMBIZA KWA KUCHEKA NA NYAVU
NDANI ya msimu wa 2020/21 eneo la kucheka na nyavu kwa kiasi kikubwa wazawa wameweza kujitahidi kwa kufanya vizuri. …
FEI TOTO ATUMA UJUMBE KWA SIMBA KUELEKEA FAINALI KIGOMA
KIUNGO mshambuliaji wa Klabu ya Yanga, Feisal Salum ‘FeiToto’, amefunguka kuwa baada ya kukamilisha michezo yao ya Ligi Kuu Bara,…
YONDANI, NGASSA WAGOMA KUAGWA NA YANGA
WACHEZAJI wa zamani waliocheza kwa mafanikio ndani ya Yanga, Mrisho Ngassa na Kelvin Yondani wamefunguka kuwa wao kwa sasa hawana…
KAGERE, BOCCO NA MUGALU WAMPA KIGUGUMIZI GOMES ISHU YA USAJILI
MABAO ambayo wameyafunga washambuliaji watatu wa Klabu ya Simba, John Bocco, Chris Mugalu na Meddie Kagere yamempa kigugumizi kocha mkuu…
BREAKING: AZAM FC WAMEAMUA, WAMSAINISHA BEKI WA SIMBA MAZIMA
RASMI leo Julai 20 nyota wa timu ya Ruvu Shooting amemalizana na mabosi wa Azam FC akiwa ni mchezaji huru…
PANGA KUBWA LAPITA POLISI TANZANIA, 13 WAPIGWA CHINI
KIKOSI cha Polisi Tanzania leo Julai 20 kimetangaza rasmi kuachana na nyota wake 13 ambao hawatakuwa katika kikosi hicho kwa…
VIDEO: DIDIER GOMES ATAJA SILAHA ZA KUIMALIZA YANGA, YANGA YAJIBU MAPIGO
DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba ataja silaha za kuimaliza Yanga, Yanga jajibu mapigo.
SASA NI KAZI YA USAJILI, KAZI IACHWE MIKONONI MWA KOCHA
LIGI Kuu Bara imefikia tamati Julai 18 ambapo bingwa alishapatikana mapema ambaye ni Simba na amefanikiwa kuuchukua uchampioni huo kwa mara ya nne…
KUNA MIKOA SUGU KWA KUSHUSHA NA KUPANDISHA TIMU LAZIMA IBADILIKE
TAYARI mbivu na mbichi kwa timu ambazo zitashiriki Ligi Daraja la Kwanza zimetambulika na ni wakati mwingine kwa ajili ya…