BAADA YA KUONA UKAME WA MAGOLI UNAMZIDI…MAYELE AIBUKA NA HILI YANGA…AAMUA KUJIWEKA KANDO….

0
Baada ya mchezo wa juzi dhidi ya Dodoma Jiji ambao Yanga ilishinda mabao 2-0 huku Fiston Mayele akiwa hajaingia wavuni, mwenyewe amewatuliza mashabiki.Mayele aliwaambia...

KUELEKEA MECHI YA FAINAL NA MADRID ….SALAH AWATIA ‘PRESHA’ LIVERPOOL….ATEGUKA NYONGA …KLOPP APAGAWA…

0
MOHAMED Salah ameipa presha Liverpool baada ya kuumia kwenye mechi ya nusu fainali ya Kombe la FA juzi usiku zikiwa zimebaki wiki mbili tu...

UKWELI MCHUNGU….YANI BADO WATU WANAAMINI GEORGE MPOLE NI ‘CHIPUKIZI’…KIBWANA ANAWEZA KUCHEZA ULAYA….?

0
Ilipokufa Ze Komedi Shoo. Ilivyokufa Orijino Komedi. Ilivyokufa Futuhi. Nikadhani vichekesho vimeisha Tanzania. Kumbe ndio kwanza vimehamia kwenye soka. Ni ajabu na kweli.Ni rasmi...

SAKATA LA MORRISON KUACHWA KIMYA KIMYA SIMBA…EDO KUMWEMBE AIBUKA NA HILI…AMTAJA HANS POPE …

0
RAFIKI yangu mmoja kiongozi Simba wakati ule sakata la Morrison kusaini Simba likiwa limeanza kuchanganya alinipigia simu na kukoroma kweli kweli. “wanamuonea tu. wanamsingizia...

KUELEKEA MSIMU UJAO….YANGA WAPANGA KUTIKISA AFRIKA KWA USAJILI…INJINIA HERSI ATAJA VIFAA VIPYA TUPU…

0
MJUMBE wa Kamati ya Mashindano na Usajili wa Yanga ambaye pia ni Mkurugenzi Uwekezaji wa GSM, Injinia Hersi Said, ameahidi msimu ujao kufanya usajili...

USAJILI WA SURE BOY WAMUIBUA KIGOGO YANGA…AFUNGUKA NABI ALIVYOWALILIA WAMCHUKUE…

0
MJUMBE wa Kamati ya Mashindano ya Yanga na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM, Injinia Hersi Said, anajivunia usajili bora wa kiungo mchezeshaji, Salum Aboubakari...

LEO NI LEO AISEE…TAZAMA FAINALI YA EUROPA NDANI YA BOMBA…MZUKA WOTE HUU NI SIMPLE...

0
Mwezi flani Ameizing…!#UEL hatua ya fainali sasa! @dstvtanzania inakupa kufurahia mtanange huu Live  ambapo Frankfrut watavaana na Rangers Jumatano hii.Ni ndani ya kifurushi cha...

KUELEKEA MSIMU UJAO…MO DEWJI AMWAGA MAMILIONI YA USAJILI SIMBA…WATAKAO SAJILIWA HAWA HAPA..

0
UNAWEZA kusema mwenendo wa ufungaji wa washambuliaji wa Simba msimu huu, hauwafurahishi wengi ndani ya klabu hiyo, hali iliyomfanya Rais wa Heshima, Mohamed Dewji...

KISA MKUDE….PABLO AVUNJA UKIMYA SIMBA…AFUNGUKA ALIVYOMVURIGIA MIPANGO YAKE…

0
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema wachezaji wake wa kikosi cha kwanza ambao hawajawa fiti wanavuruga mipango ya timu hiyo kutokana na kumpa...

MCHAGA WA KILUVYA ALIYESHINDA JACKPOT YA SportPesa.. AKABIDHIWA UBILIONEA WAKE LEO….AFUNGUKA ALICHOFANYA…

0
Mshindi wa Jackpot ya SportPesa Florian VAlerian Massawe akikabidhiwa rasmi mfano wa hundi ya Tsh. 1,255,316,060 na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi SportPesa Tarimba...