Trending Stories
View All
BOCCO BALAA LAKE JANA LILIKUWA KWA MTINDO HUU
JOHN Bocco, nahodha wa Simba jana amekiongoza kikosi chake kuibuka na ushindi wa bao 1-0 mbele ya Lipuli kwenye mchezo…
HIVI NDIVYO YANGA ILIVYOBANWA MBAVU NA WAJELAJELA JANA TAIFA
KIKOSI cha Yanga jana kimebanwa mbavu kwenye Uwanja wa Taifa mbele ya wajelajela Tanzania Prisons kutoka Mbeya kwenye mchezo wa…
MBINU ALIZOPEWA SAMATTA ILI KUMKERA MOURINHO
WAKATI mshambuliaji wa Aston Villa, Mtanzania, Mbwana Samatta kesho akitarajiwa kucheza dhidi ya Tottenham Hotspur inayofundishwa na Kocha Jose Mourinho,…
MGHANA MPYA ASHUSHWA YANGA, SPOTI XTRA LEO JUMAPILI HILI HAPA
Muonekano wa gazeti la Spoti Xtra katika ukurasa wa mbele leo Jumapili.
YANGA WATAKA STRAIKA WAO AONDOLEWE – VIDEO
Mashabiki wa klabu ya Yanga walivyofunguka kuhusiana na mchezaji wao, Yikpe wakilaumu kuwa ni mzigo.
NAMNA PENATI YA MORRISON ILIVYOPAA JUU YA LANGO – VIDEO
MKENYA AREJESHWA KIKOSINI YANGA
Kipa namba moja wa Yanga, Farouk Shikalo amerudishwa kikosi cha kwanza jana Jumamosi dhidi ya Prisons baada ya kukalishwa benchi…
MASHABIKI MAN UNITED SIKIENI HII KUTOKA KWA BOSS WENU
Mkurugenzi wa Manchester United, Ed Woodward amesema anaona nafasi ya kikosi chao kufanya vizuri msimu ujao huku akiamini msimu huu…
MWAKYEMBE AWAONYA WATANZANIA KUHUSIANA NA SAMATTA – VIDEO
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo amesema Watanzania hawana budi kuonesha mapenzi yaliyopitiliza kwa Mtanzania Mbwana Samatta ambaye kwa…
VPL : YANGA 0-0 PRISONS
Mapumziko: Yanga 0-0 Tanzania Prisons Uwanja wa TaifaZimeongezwa dakika mbiliDakika ya 44 Morrison anafanya jaribio kali linalompeleka chni mlinda mlango wa…
KOCHA YANGA ASHTUKA, AWABADILISHIA MBINU PRISONS
Akijiandaa kuwavaa wapinzani wake Tanzania Prisons, Kocha Mkuu wa Yanga Mbelgiji Luc Eymael amesema mbinu alizozitumia katika michezo iliyopita waliyokutana…
VPL: LIPULI 0-1 SIMBA
Kipindi cha Kwanza: Lipuli 0-1 SimbaUwanja SamoraGooal BoccoDakika ya 31 Paul Ngalema anaonyeshwa kadi ya njanoDakika ya 29 Simba wanapiga…
SABABU ZA NYOTA WATATU WA YANGA KUIKOSA TANZANIA PRISONS HIZI HAPA
DITRAM Nchimbi, Haruna Niyonzima na Fei Toto wataukosa mchezo wa leo dhidi ya Tanzania Prisons utakaochezwa Uwanja Taifa.Kocha Mkuu wa…
KIKOSI CHA AZAM FC KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA COASTAL UNION
KIKOSI cha Azam FC kitakachoanza leo dhidi ya Coastal Union
HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA LIPULI
KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Lipuli, Uwanja wa Samora, Iringa