BARAZA ASEPA NA TUZO YA KOCHA BORA BONGO
FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Klabu ya Biashara United ameibuka na tuzo ya kocha bora kwa mwezi Januari ndani ya Ligi Kuu Bara kwa...
LIGI IMEGAWANYIKA KWA SASA VIPANDE VITATU
MWENDO ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2020/21 unakwenda kwa kasi sana jambo ambalo linafanya kila timu kuzidi kuwa imara.Ushindani ambao...
WAWAKILISHI WETU KIMATAIFA MNA KAZI YA KUFANYA KIMATAIFA
FURAHA ya mashabiki ni kuona timu inapata matokeo mazuri ndani ya uwanja. Jambo hilo lipo kwa kila mmoja ambaye anapenda mpira kwa kuwa ushindi...
KIKOSI CHA SIMBA KINACHOTARAJIWA KUANZA LEO MBELE YA AS VITA YA CONGO
LEO Februari 12 kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes kinatarajiwa kumenyana na AS Vita, ya Congo kwenye mchezo wa Ligi ya...
MORRISON, MUGALU WAPEWA JUKUMU ZITO DR CONGO
KUTOKANA na uzoefu wake alionao wa kuwahi kucheza soka Kinshasa, DR Congo, benchi la ufundi la Simba limempa jukumu zito kiungo wake mshambuliaji, Mghana...
ORODHA YA KIKOSI CHA NAMUNGO FC KITAKACHOIBUKIA ANGOLA
KIKOSI cha Namungo FC ambacho kinatarajiwa kuanza safari leo kuelekea Angola, msafara huo unajumuisha wachezaji 22 ambapo Februari 14 kitakuwa na kazi ya kumenyana...
MASTAA YANGA WALA KIAPO KUIUA MBEYA CITY KESHO
WACHEZAJI wa Yanga wameapa kuibuka na ushindi katika mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City utakaofanyika kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa...
ISHU YA MABAO MATANO KIMATAIFA, MANULA APATA KIGUGUMIZI
KIPA namba moja wa Klabu ya Simba, Aishi Manula amepata kigugumizi kuzungumzia kichapo cha mabao matano yaliyopita kwenye mechi zao za kimataifa.Manula alikuwa langoni...
TUCHEL AITAKA SAINI YA ERIKSEN WA INTER MILAN
IMERIPOTIWA kuwa Chelsea ipo na uwezekanao mkubwa wa kumpata Christian Eriksen wa Inter Milan na kurejea ndani ya Ligi Kuu England kwa kubadilishana na...
KOCHA SIMBA: NAMJUA VIZURI IBENGE, NINAJIAMINI
MFARANSA Didier Gomes ambaye ni kocha mkuu wa Simba ametamba kwamba anajiamini mbele ya mpinzani wake kocha wa AS Vita, Florent Ibenge kwa kuwa...