SARE NA AL AHLY YANGA YATANGAZA VITA NA FAR RABAT

0
BAADA ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Al Ahly ya Misri, beki wa Yanga, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, amesema matokeo hayo yamewaongezea hasira...

OURA, LOEMBA RUHUSA MKAPA DHIDI YA ESPERANCE

0
KIUNGO wa Simba SC, Inno Jospin Loemba pamoja na winga Anicet Oura wamekamilisha taratibu zote zinazowaruhusu kucheza mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa...

SIKIA HII YA EDGAR WILLIAM

0
BAO alilolifunga mshambuliaji wa Dodoma Jiji, Edgar William, juzi katika ushindi wa 1-0 dhidi ya JKT Tanzania, limemfanya kuweka raekodi ya kuwafunga maafande hao...

WAARABU WA SIMBA WAOMBA SAPOTI YANGA

0
SIMBA inacheza nyumbani leo Jumapili dhidi ya Esperance de Tunis, lakini Waarabu wao hao wametua Zanzibar wakifuata mambo mawili ikiwamo Yanga. Mashabiki wa Esperance wametua...

BUBA AMCHOMOA CONTE, AMFUATA FADLU

0
YANGA imemaliza utata baada ya kumuondoa kiungo Moussa Bala Conte akimpisha winga mpya wa timu hiyo, Buba Jammeh aliyekamilisha usajili wake saa chache kabla...

YANGA YASHINDWA KUFURUKUTA NYUMBANI SARE

0
YANGA SC imeshindwa kutumia vyema faida ya kucheza nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 na mabingwa wa Afrika, Al Ahly, katika mchezo...

SIMBA TAYARI KWA VITA MKAPA, BARKER

0
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amesema kikosi chake kipo tayari kwa asilimia 100 kuelekea mchezo muhimu wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi...

ALIYEINYONGA AZAM KUCHEZESHA YANGA NA AL AHLY

0
Refa kutoka Cameroon Antoine Effa Essouma ndiye atachezesha mechi ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu baina ya Yanga na...

JOTO LAWAKUTANISHA AL AHLY AMANI

0
Mapema tu leo Al Ahly imeonyesha kuanza kutishwa na hali ya joto kwenye Uwanja wa New Amaan Complex mjini Unguja ikisaka maji kwa haraka...

GATES OF HALLOWEEN YAENDELEA KULETA USHINDI

0
Hata baada ya sherehe za Halloween kumalizika, Meridianbet inaendelea kukupatia msisimko uleule wa kipekee. Gates of Halloween sasa ni lango lako la kuingia kwenye ulimwengu...