Habari za Yanga SC

HAYO MAANDALIZI YA GAMONDI DHIDI YA AL MAREIKH SIO POA

0
KUELEKEA mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Al Merrikh, Waarabu hao wa Sudan watakutana na balaa jipya...
Habari za Yanga

HII HAPA NDIO MITEGO MIWILI YA YANGA

0
Yanga haijaruhusu bao lolote mpaka sasa kwenye ligi na inachofanya ni kuendelea kushusha vipigo vyenye ujazo tofauti lakini mitego miwili inayowapa shida wapinzani imejulikana. Ikiwa...

KISA AL AHLY…. LUIS AFANYIWA KUFURU

0
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo

YANGA MACHO YOTE MAKUNDI CAF

0
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
Habari za Simba

SIMBA YAWASHANGAZA POWER DYNAMO

0
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wala hauna haja ya kupiga makelele mengi juu ya timu yao na wanachokifanya ni kuendelea kushinda mechi zao...
Habari za Yanga

AL MAREIKH HAWA HAPA NCHINI KWAAJILI YA YANGA

0
Wapinzani wa Yanga katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Merrikh ya Sudan, wanatarajiwa kuwasili Dar es Salaam, kesho Jumatano. Msafara wa...

BAADA YA KUANZA VIBAYA NYONI AFUNGUKA MIPANGO YA NAMUNGO

0
Kiungo wa Namungo FC, Erasto Nyoni amesema licha ya kuanza vibaya michezo yao ya Ligi Kuu Tanzania Bara lakini anaamini watafanya vizuri msimu huu...

ELCLASICO ILIANZA LINI!? NANI ANAONGOZA KWA REKODI!?

0
Ukienda Hispania utakutana na upinzani mkubwa sana wa vilabu viwili vikubwa, FC Barcelona na Real Madrid, timu hizi zina idadi kubwa ya mashabiki kulinganisha...

YANGA WASANUKIA MTEGO HUU WA AL MAREIKH

0
Ofisa Habari wa Yanga, Alikamwe amedai kuwa wapinzani wao Al Merrikh wameanza kuwasifu kuwa Wananchi wanaogopeka Afrika wao wamesoma Cuba wanajua huo ni Mtego "Tumesikia...
Habari za Yanga

GAMONDI APEWA WAKATI MGUMU NA MWAMNYETO

0
Kikosi cha Yanga, kinaendelea kujifua kwa ajili ya mechi ya marudiano ya raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Merrikh...