KIKOSI KAMILI CHA SIMBA 2025/26….KAPOMBE, MPANZU WALIVYOIBUA SHANGWE KWA MKAPA….
UTAMBULISHO wa kikosi cha Simba SC kwa msimu wa 2025-2026, umeteka hisia za mashabiki wa timu hiyo waliofika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es...
RASMI….DUCHU ARITHI VYA ‘TSHABALALA’ SIMBA….KIKOSI KAMILI MSIMU 2025/26 HIKI HAPA…..
BAADA ya Mohamed Hussein 'Tshabalala' kuondoka Simba, timu aliyoitumikia kwa takribani miaka kumi, sasa kuelekea msimu wa 2025-2026, mikoba yake ipo kwa David Kameta...
BAADA YA KUIFUNGA GHANA JUZI…MSHAMBULIAJI MPYA AISHTUA YANGA….MABOSI WAKUNA KICHWA
KATI ya wachezaji 11 wapya waliotua Yanga kwa ajili ya msimu wa 2025-2026, kiungo mshambuliaji Celestine Ecua mapema tu ameonekana kuwashtua mabosi wa timu...
SIMBA DAY 25: BAADA YA KUONA ‘VIBE’ LA MNYAMA LEO…MORRISON AIPA SIMBA KIFAA…
NYOTA wa zamani wa Simba raia wa Ghana, Bernard Morrison 'BM3', amesifu tamasha la kikosi hicho linalofanyika leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini...
SIMBA DAY :-MBOSO ALIVYO ‘MBOSOA’ KWA MKAPA LEO….ALLY KIBA ASHINDWA KUJIZUIA KWA ‘UTAMU’….
KAMA kuna mashabiki waliinjoi leo kwa Mkapa basi ni kushuhudia shoo ya Mwimbaji wa Bongo Fleva, Mbwana Yusuph Kirungi maarufu kama Mbosso.
Kama kuna tuzo...
ALIYETOKA LIGI ‘DARAJA LA KWANZA’ ATOA AHADI YA MAKOMBE SIMBA….
SIKU moja baada ya kutambulishwa na Simba, beki Vedastus Masinde amesema anafurahia kujiunga na timu aliyoitaja kuwa ni bora kwake na anakwenda kufanya kazi...
KISA YANGA KUWA NA THAMANI YA BIL 100….UTATA WAIBUKA…HOJA NZITO IKO HAPA….
HUKO mtandaoni na hata mitaani kwa sasa mjadala ulioteka wadau wa soka ni ishu ya thamani ya Sh100 bilioni iliyonayo Yanga baada ya kutangazwa...
KWA MAGORI, BARBARA NA MKWABI…SAPRIZI MPYA SIMBA HII HAPA…
DIRISHA la usajili lilifungwa usiku wa jana, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kuwatema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu...
MAPINDUZI YA KASINO MTANDAONI KUPITIA MERIDIAN BONANZA…
Meridianbet imeleta mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa michezo ya kubashiri kwa kuzindua Meridian Bonanza, mchezo mpya wa kasino mtandaoni unaovunja mipaka ya ushindi na...
KUWA MILIONEA NA MECHI ZA KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2026..
Je unajua kuwa Jumanne ya leo unaweza ukajipatia maokoto ya maana kwenye mechi mbalimbali zinazoendelea za kufuzu Kombe la Dunia?. Tanzania, Senegal. DR Congo...