LAMINE MORO YUPO FITI KWA SASA KWA MAPAMBANO
BEKI kisiki wa Yanga, Lamine Moro yupo fiti kwa sasa kutokana na majeraha yake ya goti kuwa sawa na ameanza mazoezi mepesi kwa ajili...
NYOTA WATATU WA AZAM FC KUIKOSA KMC KESHO UHURU
NYOTA watatu wa kikosi cha vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC wanatarajiwa kuukosa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Bara dhidi ya...
YANGA YAMTANGAZA BOSI MPYA, WAKUMBUSHIA ISHU YA RAMADHAN KABWILI NA SIMBA
UONGOZI wa Klabu ya Yanga SC, leo Novemba 20 umemtangaza Hajji Mfikirwa kuwa Kaimu Katibu Mkuu mpya ambaye anachukua nafasi ya wakili Simon Patrick...
VITA YA COASTAL UNION V SIMBA BALAA TUPU
NOVEMBA 21, Simba chini ya Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck itakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Coastal Union ya Juma Mgunda, Uwanja...
SAKATA LA BERNARD MORRISON NA YANGA LAIBULIWA UPYA KABISA
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa sasa una wasiwasi kuhusu kesi ya mchezaji wao Bernard Morrison huenda ikabadilishwa kwa kuwa dirisha dogo la...
HARUNA NIYONZIMA WA YANGA APATA AJALI
NYOTA wa kikosi cha Yanga, Haruna Niyonzima taarifa zinaeleza kuwa amepata ajali akiwa na mke wake nchini Rwanda wakati gari alilokuwa akiendesha kupata ajali...
MSUVA ATAJA SABABU ZITAZOMFANYA AANZE KIKOSI CHA KWANZA CASABLANCA
NYOTA mpya wa Klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco, Mtanzania Simon Msuva, amefunguka kwamba kucheza ligi ya nchi hiyo kwa muda mrefu pamoja na...
VIRGIL ATAJWA KUANZA MAZOEZI MEPESI NDANI YA LIVERPOOL
HABARI njema kwa mashabiki wa Liverpool ni kwamba beki kitasa wa timu hiyo Virgil Van Dijk anatajwa kuanza kufanya mazoezi mepesi yatakayomsaidia kurejea kwenye...
MTUPIAJI NAMBA BONGO AINGIA ANGA ZA YANGA
ADAM Adam, staa anayekipiga ndani ya JKT Tanzania anatajwa kuingia kwenye rada za Yanga ambao wanahitaji saini yake.Nyota huyo ambaye alikuwa kwenye kikosi cha...
RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO IPO HIVI
LEO Novemba 20 Ligi Kuu Bara ratiba ipo namna hii:-Tanzania Prisons v Mtibwa Sugar saa 8:00 mchana.Ruvu Shooting v Mbeya City, saa 10:00 jioni.Dodoma...