TAIFA STARS NA KIBARUA KINGINE KESHO UWANJA WA MKAPA
KESHO timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina kibarua cha kusaka pointi tatu kwenye mchezo wa kufuzu Afcon 2021 dhidi ya Tunisia.Stars ikiwa...
MTAMBO WA MABAO YANGA WAREJEA KAZINI
MTAMBO wa kutengeneza mabao ndani ya Yanga, Carlos Carlinhos amerejea uwanjani baada ya kukaa nje kwa muda akitibu jeraha la enka.Nyota huyo raia wa...
YANGA YAJIPIGIA AFRICAN LYON MABAO 3-1
KIKOSI cha Yanga leo Novemba 15 kimeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya African Lyon kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Azam...
MO DEWJI AWATULIZA SIMBA, AWAAMBIA CHAMA ANA MKATABA MREFU SIMBA
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohamed Dewji amesema klabu hiyo ilishaingia mkataba mpya na kiungo Cleotus Chama.Mo Dewji amesema mkataba wao na...
MO DEWJI AFUNGUKA KUHUSU MUKOKO TONOMBE, ASEMA MWALIMU KAPELEKA MAPENDEKEZO YA KIUNGO MKABAJI
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohamed Dewji amesema suala la Simba kuwa inamuwania kiungo nyota wa Yanga, Mukoko Tonombe ni propaganda zilizotengenezwa.Dewji...
MO DEWJI: UNAMTAKA MIQUISSONE, SUBIRI MIAKA MITATU NA NUSU…
Kama kuna klabu ina mpango wa kuingia mkataba na kiungo nyota wa Simba, Luis MIquissone, italazimika kusubiri miaka mingine mitatu na nusu au...
WAPINZANI WA KIMATAIFA KUTOKA NIGERIA WAANZA KUIFUATILIA SIMBA
PLATEAU United ni wapinzani wa Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika lakini uongozi wa timu kutoka nchini Nigeria, umesema kuwa tayari umeanza kuwafuatilia kwa...
YANGA YA KAZE KAZINI LEO KUTESTI MITAMBO
KIKOSI cha Yanga leo Jumapili, Novemba 15 kitakuwa na kibarua cha kumenyana na African Lyon kwenye mchezo wa kirafiki.Mchezo wa leo ambao unatarajiwa kuchezwa...
MSUVA: MASLAHI YAMENIPELEKA WYDAD CASABLANCA
WINGA machachari Mtanzania, Simon Msuva, amethibitisha kujiunga na Klabu ya Wydad Casablanca ya nchini Morocco kwa mkataba wa miaka minne na nusu akitokea Difaa...
BIASHARA UNITED YATAKA KUMALIZA NDANI YA TANO BORA
FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Biashara United amesema kuwa malengo makubwa ya timu yake ni kumaliza ndani ya tano bora kwa msimu wa 2020/21...